Irene Uwoya kufungua kanisa lake

Obamaeli Rutajecha

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
230
274
images-18-jpg.473482
images-13-jpg.473481

Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema kuwa ana mpango wa kuwa Mchungaji pamoja na kumiliki kanisa lake yeye mwenyewe siku za usoni na kwamba anamuomba Mungu kila siku aweze kutimiza ndoto hizo.


Kauli hii imetoka kinywani mwa msanii huyo pindi alipokuwa akijibu maswali mubashara aliyokuwa anaulizwa na mashabiki zake kupitia katika ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipindi cha Kikaangoni

"Nina ndoto ya kuwa mchungaji na kila siku huwa nina muomba Mungu anifanikishie suala hilo niweze kutimiza japokuwa sasa hivi bado nipo katika changamoto kubwa ila natumai ndoto zangu zitatimia.

Natamani kuwa pastor ambaye ni mwalimu, niwafundishe watu Mungu anataka nini, lakini sitaki kuanzisha kanisa kama biashara, sitaki kucheza na Mungu, ndiyo maana najipanga kwanza sitaki kukurupuka, nataka niwafundishe watu Mungu anataka nini, na jinsi ya kumuomba Mungu". Alisema Uwoya

Haya sasa mjiandae kwenda kanisani kwa mchungaji Irene Uwoya mkasifu na kuabudu!

Hivi ni wito au ni nini? Alianza Nay wa mitego leo Uwoya..maoni yenu wakuu!
 
Ndo kuongoka kwa mtume Paulo???ndo yuko tumboni mwa samaki anasubiri atemwe... Kila la heri mama
 
Unaenda kanisani na maji ya masafi na sabuni halafu unakaa kule ukutani kule, unakua bize kumuangalia mchungaji Uwoya a.k.a Mama wa Kuunguruma Nyikani (Natumaini ataipokea hii a.k.a) huku ukikumbuka picha zake za kutegana, za utata, mapozi tata yote ya kwenye gazeti la Sani, Kiu, Ijumaa, Uwazi, Ijumaa Wikienda, Filamu na hadi jarida la Bab Kubwa.

Hapo ile sabuni na maji ya Masafi vinazidi kukuliwaza.

By the way utajua mwenyewe ujiweke nafasi ya Ndikumana au Msami kipindi ukiwa umejibanza hapo ukiendelea kupokea neno.
 
Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema kuwa ana mpango wa kuwa Mchungaji pamoja na kumiliki kanisa lake yeye mwenyewe siku za usoni na kwamba anamuomba Mungu kila siku aweze kutimiza ndoto hizo.

Kauli hii imetoka kinywani mwa msanii huyo pindi alipokuwa akijibu maswali mubashara aliyokuwa anaulizwa na mashabiki zake kupitia katika ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipindi cha Kikaangoni

"Nina ndoto ya kuwa mchungaji na kila siku huwa nina muomba Mungu anifanikishie suala hilo niweze kutimiza japokuwa sasa hivi bado nipo katika changamoto kubwa ila natumai ndoto zangu zitatimia. Natamani kuwa pastor ambaye ni mwalimu, niwafundishe watu Mungu anataka nini, lakini sitaki kuanzisha kanisa kama biashara, sitaki kucheza na Mungu, ndiyo maana najipanga kwanza sitaki kukurupuka, nataka niwafundishe watu Mungu anataka nini, na jinsi ya kumuomba Mungu". Alisema Uwoya

Haya sasa mjiandae kwenda kanisani kwa mchungaji Irene uwoya mkasifu na kuabudu!

Hivi ni wito au ni nini? Alianza nay wa mitego leo uwoya..maoni yenu wakuu!..!
Na kadri wanavyozidi kumtania Mungu, atawainyesha ukuu wake
Aliyeitwa ajipangi
 
Unaenda kanisani na maji ya masafi na sabuni halafu unakaa kule ukutani kule, unakua bize kumuangalia mchungaji Uwoya a.k.a Mama wa Kuunguruma Nyikani (Natumaini ataipokea hii a.k.a) huku ukikumbuka picha zake za kutegana, za utata, mapozi tata yote ya kwenye gazeti la Sani, Kiu, Ijumaa, Uwazi, Ijumaa Wikienda, Filamu na hadi jarida la Bab Kubwa.

Hapo ile sabuni na maji ya Masafi vinazidi kukuliwaza.

By the way utajua mwenyewe ujiweke nafasi ya Ndikumana au Msami kipindi ukiwa umejibanza hapo ukiendelea kupokea neno.
Hamuishiwi vituko jmn
 
Ni biashara nZuri kwa miaka mingi tu na inayozidi kushamiri killa cku watu wanatumia fursa hii kutengeza pesa kwa kujificha kwenye kivuli cha miujiza na maombi....mwacheni naye aitumie fursa kama wengine wafanyavyo
 
Nasikia wanamuiga mwenzao na wengi watafungua huduma zao kama mitume na manabii wa uongo
 
Back
Top Bottom