Kutoka magazetini: Wema ndio habari ya mjini afunika wengine wote

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
IMG_20170225_070954.jpg


IMG_20170225_070926.jpg


IMG_20170225_070838.jpg


IMG_20170225_070815.jpg


IMG_20170225_070551.jpg


IMG_20170225_070537.jpg


IMG_20170225_070753.jpg


Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa...

Cha ajabu leo kapata coverage kubwa sana. Kumbuka jana Makonda alikuwa na Press Conference, Siro alikuwa na Press Conference ila hawajapata coverage kubwa kama Wema.

Huyu binti ana nguvu na mvuto wa ajabu
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa...

Cha ajabu leo kapata coverage kubwa sana. Kumbuka jana Makonda alikuwa na Press Conference, Siro alikuwa na Press Conference ila hawajapata coverage kubwa kama Wema.

Huyu binti ana nguvu na mvuto wa ajabu
 
Ni kawaida sana kwa wema kua magazetini toka enzi na miss, mahusiano na kanumba hadi kwa diamond ametapakaa sana kwenye magazeti sasa cha ajabu nini hapo?
 
Ni kawaida sana kwa wema kua magazetini toka enzi na miss, mahusiano na kanumba hadi kwa diamond ametapakaa sana kwenye magazeti sasa cha ajabu nini hapo?
Cha ajabu ni kuweza kuwapiku vigogo wa kitaifa na kuwa front page headline news katika serious newspapers; Huioni hiyo angle?!
 
Mtu yeyote mwenye ushawishi ktk jamii si wa kumpuuza.vijana wa dotcom watamfuata wote bila kujali mambo ya magufuli kafanya nini
 
NIKIKUMBUKA ENZI ZILE ZA AMINA CHIFUPA KUTIKISA MAGAZETINI. NAMHURUMIA WEMA. Muda muda unaongea mengi,maisha haya.
 
Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa...

Cha ajabu leo kapata coverage kubwa sana. Kumbuka jana Makonda alikuwa na Press Conference, Siro alikuwa na Press Conference ila hawajapata coverage kubwa kama Wema.

Huyu binti ana nguvu na mvuto wa ajabu
Wema kule hajapotea atatimiza lengo lange mapema kuliko CCM kwenye mkanyagano na mtifuano wa majina makubwa. Wanaijua siasa watanielewa.
 
Wema kule hajapotea atatimiza lengo lange mapema kuliko CCM kwenye mkanyagano na mtifuano wa majina makubwa. Wanaijua siasa watanielewa.
Na huyo jamaa anayesema inamuuma ni mnafiki wa kutupwa. Kama inakuuma sana unatesekea nini wakati sumu zipo? Jiue tujue imekuuma. Unajifaragua hapa eti kapotea, kwani Chadema ni porini? Watu wana mawazo dumavu nchi hii kuliko sehemu yoyote duniani.
 
Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa...

Cha ajabu leo kapata coverage kubwa sana. Kumbuka jana Makonda alikuwa na Press Conference, Siro alikuwa na Press Conference ila hawajapata coverage kubwa kama Wema.

Huyu binti ana nguvu na mvuto wa ajabu
An enemy of your enemy is your friend
 
Back
Top Bottom