warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,382
Lulu ina maana hizo pimples kwa shemela wetu huzioni au wewe unaangalia pochi tu? Ebu angalia uso wa shemela ulivyokuwa na chunusi kama embe ng'ong'o, ukikutana nae usiku unaweza kukimbia halafu wewe ndo kwanza unajipendelea uonekane smart peke yako ,na hiyo rangi ya majizzo usoni siilewi naona rangi ya ndizi na parachichi au ndo mambo ya central yamemuaribu shemela wetu?,maana sitaki kuamini kaka mkubwa anatumia tecno wereva, Lulu shauri zako akina tunda wanammendea majizzo we endelea tu kuwa busy na insta live huku shemela anapauka kama unga wa Dona utashangaa wanambeba hakuna rangi utaacha ona,mfyuuu ila mmependezeana kwa kweli