ghetto ni nini?Mkuu una maana kaolewa ama
Mkuu iz taarifa niliziskia ila sikuwa na uhakika nazo yaweza kuwa zinaukweli?
Kwa vile anavyoruka ruka na kukata mauno huku akimsifia yesu nilivyosikia anakula unga wala sikushangaa
Yuko rehab mkuuHabar zenu wanajamv
Natumaini wote ni wazima Wa afya
Imepita mda mrefu sana sijamsikia Dada angu kipenz rose muhando muimbaji Wa nyimbo za dini
Je ni wap alipo
Ni kipi kimemkuta?
Asanteni
Ifa96
Sasa hapo tatizo liko wapi? Nani kamwambia ni vibaya kumkatikia yesu?
Hahaha... .hatari sanaAlionekana boda la Msumbiji akiwa katika jitihada zake za kuzamia South. Anasema yy ni old skul,hawezi enda South kwa njia official kama watoto wa Mama.
mfalme daudi mwenyewe alicheza mpaka nguo zikamdondoka sembuse yeyeWe huoni tatizo kwa yesu kubinuliwa makalio?