Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021 Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi. Nikki amekuwa...
3 Reactions
72 Replies
8K Views
Kuna huyu kijana anaitwa Gasper Comic kwa kweli yuko vizuri sana lakini ni kama jamii haimuoni hivi Most of the times anazungumzia masuala Tanzania kwa kutumia jina la Malawi Mwamba yuko vizuri...
8 Reactions
32 Replies
732 Views
Week end hii ilikuwa poa sana moja ya siku ambayo mashabiki wa Hip Hop Tanzania tuliisubiria sana Jongwe na wasanii wengine walikuwepo kwenye usiku wa Prof Jay kutambua mchango wake katika game...
14 Reactions
39 Replies
810 Views
Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae. Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno...
6 Reactions
54 Replies
1K Views
Mwimbaji wa Marekani, D4vd, amekamatwa kwa tuhuma za kumuua binti mwenye umri wa miaka 14 ambaye alitoweka mwaka jana. Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa chini ya uchunguzi na jury...
3 Reactions
23 Replies
586 Views
Nipo upande wa Madam Ritha Paulsen Media za Bongo ni Uchwara Uchwara. ====================== Mdau wa burudani , Madam Ritha, ametumia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii kutoa ombi rasmi la...
10 Reactions
28 Replies
816 Views
Matonya amesema "inamuumiza sana na siwezi kuisema kiukubwa lakini naweza kusema hiyo picha mbaya ya ubakaji ndio inaniumiza zaidi kwa kweli walioamua kuiweka hivyo au kuipanga hivyo mpaka...
1 Reactions
12 Replies
540 Views
UGOMVI WA SISTER P & ZAY B "Tangu zamani nilikuwa naficha lakini leo itabidi niseme ukweli, Mimi na Zay B hazijawahi kuiva, haziivi na haziji kuiva yaani yule mtoto hapana hatuendani, na yeye Zay...
0 Reactions
3 Replies
317 Views
Kwa wapenzi wa Movies za action za Mishen (Mission) Impossible hii sura ama huyu mwigizaji siyo geni. Muigizaji maarufu Mmrekani mweusi anayependwa sana (beloved) Ving Rhames 66 yrs amelazwa...
7 Reactions
14 Replies
489 Views
Mshangazi wa taifa Janepher Sanga mwenye views na followers zaidi ya million 8 kwenye mitandao ya kijamii, katoa onyo kwa ukali kwa madalali wa wanawake ambao wana posti namba zake kwenye page zao...
15 Reactions
133 Replies
4K Views
Angeendele kuishi Tanzania angekuwa anatembelea mkongojo kama siyo kutangulia mbele ya haki.
6 Reactions
13 Replies
736 Views
Kuna bendi moja kongwe ya muziki wa dansi, sitaitaja jina. Wanamuziki wake walipukutika kama Uyoga ndani ya miongo miwili ni kama walikwisha. Unajua sababu? Jimama la Kimanyema mixer Kiarabu...
47 Reactions
273 Replies
23K Views
Ni watangazaji wa mwanzoni kabisa wakati ITV inaanzishwa walinogesha mno kipindi cha muziki muziki. Sunday yuko BBC kama sikosei ila Monica sijui alipo. Nawatakia mafanikio mema.
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Wana JF, habari zenu. Zanzibar ni kisiwa cha marashi, sifa yake duniani kote ni fukwe safi na utalii wa kiwango cha juu. Lakini kwa mrembo Mmarekani Ashlee Jenae (31), ambaye amejijengea...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
LAGOS — The Ologolo branch of Harvesters International Christian Centre has surged into the spotlight as online conversations intensify around its lead pastor, Bolaji Idowu, following a series of...
1 Reactions
2 Replies
279 Views
Nimeangalia series nyingi za Kikorea lakini sijawahi kuona jamaa ambaye anaweza kuvaa character ya Ujambazi na kuwa na kiherehere kama huyu jamaa Huyu jamaa kaigiza kwenye East Of Eden, Secret...
2 Reactions
3 Replies
395 Views
Msanii Mkongwe wa Filamu Nchini Hashim Kambi amefariki dunia hii leo April 27, 2026 ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Shirikisho la Filamu Nchini Coletha Raymond...
17 Reactions
68 Replies
2K Views
Umaarufu kitaifa kwenye sanaa, michezo, mitandaoni, n.k. Tuelewane kidogo, wawe ni vijana wasiozidi miaka 40 walioishi na kukulia huko, sio wazazi kutokea huko. 1. Katavi 2. Mara 3. Lindi 4...
3 Reactions
33 Replies
931 Views
Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je, anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE?
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Back
Top Bottom