Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021
Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi.
Nikki amekuwa...
Kuna huyu kijana anaitwa Gasper Comic kwa kweli yuko vizuri sana lakini ni kama jamii haimuoni hivi
Most of the times anazungumzia masuala Tanzania kwa kutumia jina la Malawi
Mwamba yuko vizuri...
Week end hii ilikuwa poa sana moja ya siku ambayo mashabiki wa Hip Hop Tanzania tuliisubiria sana
Jongwe na wasanii wengine walikuwepo kwenye usiku wa Prof Jay kutambua mchango wake katika game...
Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae.
Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno...
Mwimbaji wa Marekani, D4vd, amekamatwa kwa tuhuma za kumuua binti mwenye umri wa miaka 14 ambaye alitoweka mwaka jana.
Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 21 alikuwa chini ya uchunguzi na jury...
Nipo upande wa Madam Ritha Paulsen Media za Bongo ni Uchwara Uchwara.
======================
Mdau wa burudani , Madam Ritha, ametumia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii kutoa ombi rasmi la...
Matonya amesema "inamuumiza sana na siwezi kuisema kiukubwa lakini naweza kusema hiyo picha mbaya ya ubakaji ndio inaniumiza zaidi kwa kweli walioamua kuiweka hivyo au kuipanga hivyo mpaka...
UGOMVI WA SISTER P & ZAY B
"Tangu zamani nilikuwa naficha lakini leo itabidi niseme ukweli, Mimi na Zay B hazijawahi kuiva, haziivi na haziji kuiva yaani yule mtoto hapana hatuendani, na yeye Zay...
Kwa wapenzi wa Movies za action za Mishen (Mission) Impossible hii sura ama huyu mwigizaji siyo geni.
Muigizaji maarufu Mmrekani mweusi anayependwa sana (beloved) Ving Rhames 66 yrs amelazwa...
Mshangazi wa taifa Janepher Sanga mwenye views na followers zaidi ya million 8 kwenye mitandao ya kijamii, katoa onyo kwa ukali kwa madalali wa wanawake ambao wana posti namba zake kwenye page zao...
Kuna bendi moja kongwe ya muziki wa dansi, sitaitaja jina.
Wanamuziki wake walipukutika kama Uyoga ndani ya miongo miwili ni kama walikwisha. Unajua sababu?
Jimama la Kimanyema mixer Kiarabu...
Ni watangazaji wa mwanzoni kabisa wakati ITV inaanzishwa walinogesha mno kipindi cha muziki muziki.
Sunday yuko BBC kama sikosei ila Monica sijui alipo.
Nawatakia mafanikio mema.
Wana JF, habari zenu.
Zanzibar ni kisiwa cha marashi, sifa yake duniani kote ni fukwe safi na utalii wa kiwango cha juu. Lakini kwa mrembo Mmarekani Ashlee Jenae (31), ambaye amejijengea...
LAGOS — The Ologolo branch of Harvesters International Christian Centre has surged into the spotlight as online conversations intensify around its lead pastor, Bolaji Idowu, following a series of...
Nimeangalia series nyingi za Kikorea lakini sijawahi kuona jamaa ambaye anaweza kuvaa character ya Ujambazi na kuwa na kiherehere kama huyu jamaa
Huyu jamaa kaigiza kwenye East Of Eden, Secret...
Msanii Mkongwe wa Filamu Nchini Hashim Kambi amefariki dunia hii leo April 27, 2026 ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Shirikisho la Filamu Nchini Coletha Raymond...
Umaarufu kitaifa kwenye sanaa, michezo, mitandaoni, n.k.
Tuelewane kidogo, wawe ni vijana wasiozidi miaka 40 walioishi na kukulia huko, sio wazazi kutokea huko.
1. Katavi
2. Mara
3. Lindi
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.