Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Dudu Baya amemwaga sewage katika mtandao wa YouTube akimlaami mwanaye Wile kwa maneno makali jambo ambalo limekera baadhi ya Watanzania hasa alipotamka kauli chafu kuwa alimpiga trees mama wa...
5 Reactions
175 Replies
2K Views
Master J ndio Godfather wa hili game japo yeye hapendagi kabisa hizi debates, anaona zinampotezea muda tu haoni umuhimu wa kuitwa legend wala mambo ya kupewa heshima. inshort hapewi kabisa heshima...
2 Reactions
6 Replies
740 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
WATU PORI - USINICHUKIE Afande sele.( Verse).. "inshallah kama umenisamehe Kama bado basi Ewallah Yote namuachia Allah Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/ Anatupenda Sawa sawa...
1 Reactions
1 Replies
130 Views
K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo & Domokaya inayoitwa starehe na fedha ila haikufanya pouwa baada ya hapo...
11 Reactions
129 Replies
2K Views
MATUMAINI: katika mambo yanayokwamisha mtu kuweza kuendelea ni pale anapokutana na changamoto mbalimbali za maisha hasa pale unapokuta unashindwa kufikia malengo uliyoweka kwa wakati,hali hii...
2 Reactions
6 Replies
160 Views
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa. Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani. Wahindi na...
27 Reactions
326 Replies
37K Views
AFANDE SELE - MIAKA 10. Intro .. Yeah.!! Oooh.!! Miaka 10 Imefika Ya mfalume mimi Imepita viumbe wanakuja wanazaliwa wanakufa wanaondoka shwaa!! Dunia hudumu Daima weweee!! Chuki ya nani...
1 Reactions
2 Replies
119 Views
DAZ BABA - ELIMU DUNIA. VERSE.. ( AFANDE SELE) We ni mfungwa sasa 'si mtu huru/ Ukilalamika sana utakuwa kama unakufuru/ Tu..!! Lazima ujue sisi ni vifaranga na maisha ni kama mwewe/ Mama yetu...
1 Reactions
4 Replies
138 Views
BREAKING NEWS: X Influencers React to Hilda Baci’s NLP Testimony Ahead of March 13 Conference at Tafawa Balewa Square LAGOS — Social media platform X (formerly Twitter) erupted in debate this...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Interview na Afande Sele akizungumzia watu pori na gheto boys akiwa na c.e.o wa ukwaju wa kitambo
2 Reactions
3 Replies
143 Views
Tasnia ya muziki wa bongo fleva, hususan muziki wa Rap wa zamani kutoka kwenye viunga vya wilaya ya Temeke, imepata pigo kufuatia kifo cha aliyekuwa mwanzilishi wa kundi la Rap la LWP (Majitu)...
9 Reactions
8 Replies
345 Views
Ukitoa Dar ni majiji gani mengine yana kumbi za cinema atleast Kila weekend WATU wanaweza jipoza. Aya Kwa music wapi UNAWEZA sikia Kuna burudani ukiacha bar za mbagala kule atleast kama ni music...
2 Reactions
11 Replies
246 Views
Hello. Msije kusema na wasema watumishi wa bwana. Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua. Kuna rafiki yangu mmoja...
15 Reactions
123 Replies
16K Views
Nimeanza kufuatilia Muziki huu wa Hip Hop hapa Bongo kwa kipindi kirefu sasa nimeshihudia list kubwa sana ya wasanii wanaofanya Muziki Aina ya Hip Hop wakiwa wanaonekana kwenye muonekano wa kuvaa...
2 Reactions
9 Replies
248 Views
1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali. 2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa (akiwemo...
37 Reactions
271 Replies
16K Views
Washkaji Wenye Vipaji (2002, Cassette) ✍🏾washkaji Wenye Vipaji ni jina la kutaja albamu ya muziki wa kizazi kipya yenye nyimbo mchanganyiko kutoka kwa wasanii mbalimbali wa Tanzania. Wasanii hao...
1 Reactions
5 Replies
120 Views
Mwanamuziki mkongwe nchini Mzee Zahir Ally Zoro ambaye pia ni baba mzazi wa Banana Zoro, amepost picha hii kwenye ukurasa wake wa Facebook na kuandika maneno haya "Chilling at Kisota. Marafiki...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Back
Top Bottom