Mambo vipi wadau,mimi naitwa Snitch2020
Bila kupoteza muda ningependa kuwaambia kuwa nimevutiwa sana na style anayoitumia msanij huyu CheupeDawa. Video yake imetulia na Inaendana na maudhui ya...
Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi
Akihojiwa EATV katika...
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu...
Helo wana nzengo wa humu jukwani.
Hii tuite ni bahati kwa mwana dada Irene uwoya kuolewa mara mbili tena kihalali kabisa. Ya mwanzo kanisani na sherehe ya kufa mtu na hii sasa ya kiislamu.
Kwa...
Aisee Fiesta ni show ambayo inakutanisha wasanii wakubwa sana tena wengi kwa pamoja lakini ni show yenye hadhi ndogo kabisa kuwah kutokea. Ni show ambayo mtu mwenyebkipato hutataka kuhudhuria. Ni...
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Mimi Mars amesema kwa sasa anatamani Jux na Vanessa Mdee warudiane.
Muimbaji huyo ambaye ni ndugu wa damu na Vanessa, katika mahojiano na kipindi cha Clouds E pia...
Afrika Kusini imetengeneza sanamu ya mwanamuziki Brenda Fassie na kuiweka nje ya jumba la makumbusho, ili kumuenzi
Brenda Fassie ni mwanamuziki aliyetamba sana nchini South Africa na vibao kadha...
Alikushauri nani utoe wimbo wa pili harakaharaka ilhali 'MFALME' , ilikua bado maskioni mwa watu.
Ulikurupuka au kurupushwa.?
Huu wimbo ulofanya na KIBA si level zako,,
kiba kabana pua...
Nilimsikiliza sheikh kipozeo wakati akimzungumzia dimondi
Sina shida na alichosema kuhusu huyu mtoto wa Kiislamu bali kilichonifanya niandike haya ni maneno yake kwamba dimond kuvaa msalaba...
Mama yake Dogo Janja Zaituni Omary amepigiwa simu na DJ Hazuu na kufunguka kuhusu sintofahamukuwa mwanawe kaoa kweli ama vipi
Mama huyo amesema nin kweli mwanawe ameoa na alitambulishwa kwa...
Entourage ya dogo Janja tayari tumetia timu hapa Clouds FM, mimi nikiwa kama mpiga picha wa dogo Janja sasa hivi tunasaini kitabu cha wageni tayari kuingia kwenye kipindi.
Kaa hapa hapa kwa...
Faraja Kota ambaye ni mke wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini CCM. Lazaro Nyalandu kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza jinsi anavyojawa na hofu baada ya mfululizo wa matukio ya wiki...
Miaka ya zamani kidogo Kikundi cha ZE COMEDY cha kina Masanja -mkandamizaji na wenzake kilikuwa na umaarufu na hata kupita baadhi wasanii wa muziki wa dansi, bongo fleva na hata bongo movies...
Kwanini Wasanii wengi ( japo siyo wote ) hasa wa Nyimbo / Waimbaji ( wa Bongo Fleva ) wanaotoka maeneo ya Kinondoni na Ilala haka ' Kamchezo ' kabaya kanakochezwa na ' Wanaume ' tupu katika mahala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.