Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwanamitindo Flaviana matata amelalamika kuna watu wameanza kuwangia biashara yake ya rangi za kucha. Maneno hayo kayatoa kupitia mtandao wa twitter
2 Reactions
72 Replies
12K Views
Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo. Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa...
17 Reactions
226 Replies
50K Views
kusema ukweli huyu mtangzaji wa power break fast yuko vizuri sana I think IQ yake na emotional intelligence yake iko juu sana compared to her colleagues......Big Up Mdada
3 Reactions
83 Replies
45K Views
Nani mbabe & nani mrembo kwa hawa watu watatu 1. Kalapina huyu mshikaji anafahamika kwa ukorofi lani nguvu jiwe.. ona video hapo chini alivyo mfanyaga chidbeenz maisha club Mzee wa kikosi...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Siku za hivi karibuni msanii Joti aliweka mtandaoni picha akiwa na binti yake. Watu wengi walidhani huyo binti ni mtoto wa joti na mkewe ila mchekeshaji steve nyerere kwa kukurupuka kaandika...
4 Reactions
35 Replies
11K Views
Kachaguliwa Chuo cha Tumaini na yeye First Year mwaka huu.
13 Reactions
91 Replies
12K Views
Wakuu habari zenu humu. Nina shida ya nyimbo ya Jide, Nuru. Kwa mwenye link mtandaoni anipe. Nimeitafuta sana mitandaoni bila mafanikio. Kwa mwenye nayo nikimpa hata namba anirushie whatsaap...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve Sabora Camp Serengeti
4 Reactions
69 Replies
12K Views
Mange amshambulia Lulu juu ya kesi ya kanumba. Inasemekana sababu kubwa ni ukaribu wa lulu na hoyce temu ambaye ni adui wa mange. Mange alipotoa ushauri wa lulu kukaa nje ya media alitegemea lulu...
23 Reactions
430 Replies
65K Views
Mamlaka ya udhibiti wa Chakula na madawa TFDA jana imetoa tamko la kuzuia utumikaji wa maji ya Lady Jaydee mara moja baada ya taratibu za usajili wa maji hayo katika mamlaka hiyo kutofuatwa...
0 Reactions
35 Replies
16K Views
Simsikii akivuma siku hizi!
5 Reactions
47 Replies
9K Views
Bora rais wa wambea soudy tangu mwanzo hakuamini ubuyu huu ulioonesha dalili za uchachu Msanii keisha katoa post akiwashukuru wana tip top wenzie kwa ushirikiano walioutoa kukamilisha shooting...
3 Reactions
55 Replies
12K Views
Am hip hop fans from all over the world, kwa Tanzania ukiachana na fid q, mwanafa, niki wa wote na wengne kibao KUna wanasanii hawa wawili, young killer na yangi d almost watatu iv lkn huyu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Huko insta kumenuka baada ya mashabiki wa Hamisa kuwashtaki danube Tanzania kwa kumzalilisha hamisa pia kwa kumtumia zari kwenye ufunguzi wa duka lao Tanzania huku wakijua sio mtanzania,hana...
5 Reactions
97 Replies
14K Views
Nilikua najaribu kumtazama mbwana samatta leo nikagundua jamaa sio kwenye mpira tu hata kwenye mavazi yuko vizuri sana tena kushinda hawa mabishoo wa bongo fleva, Na tena sio mavazi tu hata Gari...
4 Reactions
77 Replies
10K Views
Kwa habari za kunyapia nyapia zinadai kuwa video vixen mwenye mvuto wa hali ya juu nchini Tanzania na Africa kwa ujumla Tunda Sabasita amebeba ujauzito wa msanii Diamond Platinums Wawili hao...
5 Reactions
160 Replies
43K Views
Mbunge wa Mtera mh Lusinde ( Kibajaji ) amesema katika ujana wake alikuwa ni muuza kahawa maarufu pale Kawe ambapo alijulikana kama Stone. Lusinde amesema yeye elimu yake siyo rasmi na kwa hiyo...
13 Reactions
103 Replies
14K Views
Huyu bidada anaitwa Dati baadhi yetu tutakuwa tumemskia saana au kidogo. Anafanya vizuri kimziki nchini Sweden. she's the best anachonifurahisha anaueneza Utanzania kupitia mziki wake hasa kwenye...
2 Reactions
40 Replies
8K Views
This is too much huyu mama jamani kuweza kuishi nae kipaji haswaaa Walianza na wema akamchambaa,akaja zari alikua anapigwa madongo Leo zamu ya hamisa kaaah Au anataka mwanawe amlale mwenyewe...
11 Reactions
141 Replies
21K Views
Back
Top Bottom