Ishowspeed kabla ya kutembelea Afrika keshakuwa na shobo na WWE SuperStars, mwanakulitafuta siku moja kapeleka kwato kwa mhuni Randy, baada ya mapokezi hakuwahi tena kujihusisha na WWE
Miongoni mwa biashara pasua kichwa ni hii biashara ya kumsimamia msanii haswa msanii wa muziki .
Awali ya yote, wengi hawajui kuna utofauti kati ya sponsor na manager.
Manager kiuhalisia inabidi...
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya...
Kuna video imeniumiza na kunisikitisha kupitia Grobal TV Online ambapo mama Kanumba anaeleza kwa uchungu sana jinsi mdogo wake Kanumba Seth alivyopata ugonjwa wa ajabu uliopelekea kupalalaizi...
Muigizaji wa Comedy mwingine William Mockray anaekwenda kwa jina la stejini Mtumishi Obama, nae amejionesha leo akijipa zawadi ya gari aina ya BMW 320i ya mwaka 2006 hadi 2008.
Ni hatua nyingine...
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana...
---------------------------------------------
For days now, social media users have been wondering who is dating Miss Mutesi Jolly, since she is one of those famous girls whose personal life is...
Hizi tuzo za wachekeshaji mwaka jana zilifanyika Februari 14 siku ya Valentine wakamualika hadi Rais kama mgeni rasmi
Mwaka huu nimepita kwenye instagram yao sijaona update yoyote.Tukiwaambia...
Kwanini nimesema una uwalikini mkubwa?
Vile tunashuhudia humu jukwaani hata huko uraiani mambo ni yaleyale.
Kuna jamaa walikuwa wanatambiana kuwa ana nguo za kulalia nyingi kiasi kwamba mademu...
MKOLONI FT JITA MAN - BEI JUU.
Mkoloni amewataka wasanii kuimba nyimbo za kuelimisha kama walivyokuwa wanaimba zamani ili kuweza kuiweka jamii sawa na siyo kuimba mambo ambayo ukiyasikia mpaka...
Wanabodi,
Tunaposherehekea siku ya wanawake duniani ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebrities ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la...
Dudu Baya amemwaga sewage katika mtandao wa YouTube akimlaami mwanaye Wile kwa maneno makali jambo ambalo limekera baadhi ya Watanzania hasa alipotamka kauli chafu kuwa alimpiga trees mama wa...
Master J ndio Godfather wa hili game japo yeye hapendagi kabisa hizi debates, anaona zinampotezea muda tu haoni umuhimu wa kuitwa legend wala mambo ya kupewa heshima. inshort hapewi kabisa heshima...
WATU PORI - USINICHUKIE
Afande sele.( Verse)..
"inshallah kama umenisamehe
Kama bado basi Ewallah
Yote namuachia Allah
Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/
Anatupenda Sawa sawa...
K sal ft ferooz Mwana mkiwa
Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo & Domokaya inayoitwa starehe na fedha ila haikufanya pouwa baada ya hapo...
MATUMAINI:
katika mambo yanayokwamisha mtu kuweza kuendelea ni pale anapokutana na changamoto mbalimbali za maisha hasa pale unapokuta unashindwa kufikia malengo uliyoweka kwa wakati,hali hii...
Celebrities matajiri kwa ngazi za mikoa.
Ni kweli asilimia kubwa ya Matajiri wapo Dsm lakini nako mikoani sio kwa kuwachukulia poa, uzi huu unawahusu wenye mawe yao huko mikoani.
Wahindi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.