Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

PROFESSOR JAY - SAUTI YA GHETTO PRODUCER : Q THE DONE STUDIO : MO RECORDS Intro: Aaah Eeeh bwana eeh..!! Unapima kisha Unakimbia majibu Wewe..!!! Chorus: Ni Sauti ya Gheto Kwa Watu Wangu wa...
5 Reactions
8 Replies
136 Views
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha...
24 Reactions
177 Replies
20K Views
Licha Ya Kupigana Na Mfungwa Mwenzake Gerezani Hivi Karibuni, Lakini Rapa Sean 'Diddy' Combs Amepunguziwa Kifungo Kwa Mara Nyingine Tena. Kwa Sasa Diddy Ataachiwa Huru January 24, 2028. Diddy...
2 Reactions
21 Replies
484 Views
SIRI YA FICHUKA MR. SUGU KUTOKUSHIRIKI MIAKA 30 YA BONGO FLEVA Mr. II Sugu amevunja ukimya! 😱 Anasimulia: "Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tuende studio. Baada ya kutoka...
0 Reactions
1 Replies
132 Views
FANANI AFUNGUKA WAZI, JINSI HARD BLASTERS CREW (H.B.C) ILIVYOMJENGA PROFESSOR JAY, "1990s".. "HARD BLASTERS ndio kundi lililombeba na kumsaidia Prof. Jay, siyo Prof. Jay kuisaidia Hard...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
BONGO LEGENDARY MUSIC FESTIVAL YA 2022 : UKURASA UNAOSAHAULIWA KATIKA MJADALA WA BONGO FLEVA HONOURS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA Kadiri mijadala kuhusu Bongo Fleva Honours na maadhimisho ya Miaka...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Nimeona mwanaharakati Cherry Hollister amechapisha ujumbe mzito unaomlenga Dotto Magari, ambapo ametoa madai mbalimbali dhidi yake. Miongoni mwa madai hayo, ni kuwa Dotto anaishi na virusi vya...
21 Reactions
326 Replies
9K Views
Usiku wa kuamkia leo mwanamzuziki Jux pamoja na mkewake Priscilla walihudhuria harusi ya streamer mkubwa kutoka Nigeria anaeitwa Peller akifunga ndoa na mkewake Jarvis. Soma zaidi:tofauti kati ya...
0 Reactions
1 Replies
197 Views
Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa Zuchu amejifungua salama. Kupitia ukurasa wake wa Instagram...
5 Reactions
8 Replies
402 Views
Mwanamuziki na mwigizaji Ariana Grande anapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa shughuli zake za hadharani baada ya kukamilika kwa ziara yake ya Eternal Sunshine Tour, huku mwakilishi wake akisema...
1 Reactions
0 Replies
165 Views
Habari ya ukweli kabisa Na Mmiliki wa cave Disco. The sound of Serengeti Anaanza Kwa kusema Mimi nilikuwa nafanya kazi AICC kama Director of Conferences and Marketing, na wakati huo naendesha...
7 Reactions
20 Replies
515 Views
Sugu anadai: Walianza kuniita kwenye wimbo, Madee alinipigia simu tukaenda studio, sasa tunatoka studio aliponishusha akanitumia mkwanja Milioni 2, I was like mimi sijawahi kulipwa hela kufanya...
10 Reactions
44 Replies
1K Views
Sababu kuu 1.Anaimba uhalisia wa maisha na uwanadamu 2.Anayaishi anayoyaimba 3.Nyimbo zake ni MHIMU kwa Rika zote wazee kwa vijana nk bila kujali Zinaburudisha kivipi 4.kwaujumla zina witicism...
4 Reactions
52 Replies
664 Views
Shogile, Mama kija, Zuhura, AKA Zuchu, mwenye mahaba yake mjini, anayejua kutunza mume, anayeweza kumtuliza Mondi, aliyedai yeye ni king'ang'a haswa, kwani anamganda anayemganda ambaye ni Mondi...
15 Reactions
65 Replies
2K Views
Nimeona wanaoenda mikoani ni wanaume tu ila wanawake kama Jide, RC, Ruby, Maua Sama, Zuhura mrisho wote siwaoni. Au mfumo dume? Sikilizeni hizi hapa...
4 Reactions
69 Replies
982 Views
Kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya Kiislamu mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ni Sunna ya Mtume Muhammad. Na inatajwa kwamba mwanamke anae mruhusu mume wake kuoa mke wa pili anapata thawabu...
7 Reactions
38 Replies
862 Views
Leo ilikiwa baby shawer ya Zuchu baada ya jana kuachia picha akiwa mjamzito. Leo wameonesha kiwa tumboni kwa Zuchu kuna baby girl
5 Reactions
22 Replies
530 Views
Yuko wapi huyu mdada Lissa hajaonekana mda mrefu sana si mtaani wala mitandaoni Ikumbukwe lisssa alikua mdau wa utalii wa ndani Tz miaka ya 2011 pia aKawa manager na mke wa mabeste msanii wa...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Kasomea kozi zote duniani na ni mfano halisi wa msemo mwanaume hachagui kazi.
2 Reactions
9 Replies
409 Views
Nadhani toka nchi ya Tanzania Imezaliwa mwaka 1961 hakujawahi kutokea album Kali ya Kundi la Hip hop Kama ile iliyokuwa na vichwa vitatu waliotengeneza Kundi linaitwa wachuja nafaka lakini pía...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Back
Top Bottom