Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu dada Mtangazaji wa ITV nadhani inabidi apewe pongezi kwa jinsi alivyojitoa muhanga kutangaza habari za CDM wakati wa uchaguzi hadi sasa, amezunguka mikoa yote na viongozi lakini kikubwa ni...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakuu, Anaitwa Latricia Ian, jana ndo kachaguliwa kuwa ni Miss World Tanzania Mna uhakika huyu ndo anaenda kutuwakilisha Watanzania huko Miss World? Kamati ya Miss World wametumia vigezo kumpa...
14 Reactions
58 Replies
2K Views
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani. Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya...
34 Reactions
851 Replies
143K Views
Msanii wenu ana agenda zipi, mbona haeleweki. Kama kuna washauri wake wanasoma uzi huu wamfikishie ujumbe, anakoelekea ni kubaya.
20 Reactions
83 Replies
2K Views
Juzi kuna memba aliweka uzi kuwashirikisha wanajukwaa kuwa Vunjabei anahisi kama anaenda kufilisika ila hakuwa na uhakika yote ni sababu ameona maduka yake kama yanapumulia Gesi na mengine...
126 Reactions
221 Replies
23K Views
Dada yake Diamond, Queen Darleen amesema mama yake mzazi yupo jela Hong Kong, na mara ya mwisho wameonana miaka 10 dah
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Kalapina, Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni...
64 Reactions
932 Replies
50K Views
Kwanza nichukue fursa hii kumpongeza dada Lamata kwa ubunifu na uchapakazi katika tasnia ya filamu (tamthiliya) Nikiri huwa naifuatilia tamthiliya ya Juakali. Ilianza vyema ila huku mbeleni...
13 Reactions
44 Replies
1K Views
Maimartha na Bwana Wake Puff Daddy ni matepeli wakubwa. nyepesi nyepesi zilizonifikia ni kwamba Bwana yake Maimartha alikopa pesa kwa shangazi yake (10,000,000) ili kuendesha Tamasha la Kimwana wa...
1 Reactions
63 Replies
14K Views
Kuna habari kwamba wakazi kadhaa wa jijini wana mpango wa kumtumia mtu aliye karibu nae ili amsaidie mama huyu. Yasemekana wanawekwa foleni kubwa kwenye magari ili tu yeye apite aende salon mara...
0 Reactions
53 Replies
13K Views
Tangu nimeanza kumsikia juma nature enzi hizo alikua mbaba eti mpaka Leo bado yupo vilevile
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa. Hivi karibuni kumekuwa na...
1 Reactions
33 Replies
1K Views
Mbona kama nuru imepotea ghafla kwa Idris Sultan, Nini kimemsibu star huyu?
12 Reactions
265 Replies
12K Views
Huyu jamaa Leo kaenda clouds fm kipindi cha LEO TENA na wake zake wawili, wa pili na wa tatu. Wa kwanza hakuwepo. Wameongea mengi kuwa wake zake wanapendana. Ila kaulizwa swali na Geah Kuhusu...
19 Reactions
185 Replies
29K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. I hope mko njema kabisa hapo. Mimi ni mmoja kati ya raia ambao nafuatilia sana aina mbalimbali za muziki duniani. Nafuatilia Bongo Fleva, Hiphop, Afro Beat...
20 Reactions
133 Replies
31K Views
Private jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye...
13 Reactions
65 Replies
4K Views
Jana kulikuwa na bonge moja la shoo kutoka kwa Kaka mkubwa @professorjaytz kwa namna moja ama nyingine watu walifurahi kile alichokifanya jukwaani. Pembeni yake alikuwepo @nikkimbishi999 majina...
7 Reactions
24 Replies
682 Views
Siku chache zilizopita kulitokea misiba miwili ,Spark na Hashim Kambi lakini cha kusikitisha zaidi wasanii/watu maarufu waliojitokeza kuzika ni wachache mno locha ya ukongwe wao. Pia Juma Nature...
10 Reactions
55 Replies
1K Views
Mwimbaji na YouTuber wa Rwanda Aimable Karasira amefariki dunia wakati akiachiwa huru kutoka kizuizini mjini Kigali, Huduma ya Magereza ya Rwanda (RCS) imethibitisha. Katika taarifa yake, RCS...
2 Reactions
9 Replies
457 Views
Kati ya matukio ya kisanii ya Bwana Misosi ambayo hatakuja kusahau, akiwa bado mchanga kisanii na ndio ametoa hit song yake ya kwanza "Nitoke Vipi." Ni love aliyoonyeshwa na wasanii wakubwa wa...
16 Reactions
84 Replies
2K Views
Back
Top Bottom