America's BET Hip Hop Awards pays tribute to Tanzanian hip hop as rapper Gsan of the group X Plastaz from Arusha, Tanzania participates in this year's BET cypher among legends such as KRS One...
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele...
1.Samweli Sita
2.Kingunge
3.Ndesamburo
3.King Majuto
4.Masaburi
5.Masogange
6.Sam wa Ukweli
8.Maji Marefu
9.....
Hii inatukumbusha na kutufundisha kwamba duniani hata uwe nani utakufa tu,dunia...
Huyu kijana mzee sijamsikia kitambo
Sana, ni moja ya magentleman wa mjini wenye hela bila kelele toka enzi hizo.
Kabla hata Freeman hajaingia kwenye siasa huyu ni mshkaji wamedance wote...
Huwenda asijulikane kwa wengi kutokana na muziki anaofanya kupendwa na idadi ndogo ya watu ila kipaji halisi cha muziki kiko ndani yake.
Yamodo ni mwanamuziki wa dansi, kwangu mimi nilianza...
Yani inafika siku kama ijumaa ma jumamosi usiku namna cha msanii yeyote aliekuja kupiga show unaishia kuwaona tu YouTube na instagram ukiwa mkazo wa hili jiji,
sio hivyo tu hata clubs za kwenda...
I Hope Mu wazima ndugu wadau,
Nilikuwa Sijasikiliza redio hasa kipindi cha Xxl ya Cloud's fm,kwa muda mrefu sana,
Basi leo nikiwa nawasikiliza nimesikia wakiwahimiza mashabiki wa muziki wa huko...
basi ndo hivyo bana ALi kiba ndoa chali na Roma pia,haijajulikana mara moja sababu ya issue ya Roma ila kwa ali kiba ni kwamba mwana dada alichoka madharau ya king kiba kalalamika sana kwao...
Ki ukweli kama hujawahi muona huyu mtu akifanya mabalaaa basi siku 1 ukiona mabalaa ya huyu jamaa utajua naongelea nini,Zamani eti niliskiaga ukiwa komando unapewa kisu na njiti 1 tu ya kiberiti...
Binti ambaye ni mhasibu amefariki dunia papo hapo kwa kupigwa shoti ya umeme baada ya simu yake iliyokuwa akiichaji kuanguka ndani ya maji.
Evgenia Shulyatyeva (26), ambaye ni mpenda ‘selfie’...
Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amesema hajaachana na mkewe bali amemruhusu arejee kwao Kenya kufanya kazi kama alivyomuomba.
Amesema licha ya uamuzi wake huo, siku za hivi...
Kwa wale wanaomfahu David Nkuba amefariki leo kwa ajali ya gari ndogo maeneo ya Shinyanga.
David alisoma Azania Secondary, Usagara High School, alipita pia UDSM kidogo na baadae akamalizia...
DAR ES SALAAM,TANZANIA.
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amesema hajaachana na mkewe bali amemruhusu arejee kwao Kenya kufanya kazi kama alivyomuomba.
Amesema licha ya uamuzi wake huo, siku za...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amemuomba msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kubadilisha ratiba ya Wasafi Festival mkoani Iringa ili ahudhurie...
Hili nalisema kwa kuangalia jinsi diamond anavyopeperuka NA vidosho kila siku,Nina imani ZARI atalia muda si mrefu,hakutumia busara kukubali kumzalia diamond mapema kiasi hicho,domo hana utulivu...
Ningependa kumfahamu huyu binti anaitwa Reginal Mengi mtoto wa mwenyekiti wa IPP
Lengo la picha ni kumfahamu tu
sio kwa sifa hizi anazomwagiwa eti ni mzuri kuliko mama ake mdogo Jack Mengi...
Wakuu ningepata uelewa wa haya mambo kuhusu hii teknolojia ya kupasha habari kwa kutumia hizi online TV,pamoja na hayo pia nahitaji kujua faida inayopatikana kutokana na huduma hizi pia faida...
Wanaukumbi kwema,
Leo naombeni mnijuze nini kimemkuta mwanamuziki Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz ambaye kuna kipindi tuliaminishwa kuwa atakuja kumzidi kama sio kumfunika na kumpoteza...
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto...