Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Kwa wale wanaomfahu David Nkuba amefariki leo kwa ajali ya gari ndogo maeneo ya Shinyanga.
David alisoma Azania Secondary, Usagara High School, alipita pia UDSM kidogo na baadae akamalizia masomo yake Chuo Kikuu cha Mysore, India alikosemea Shahada ya Uhandisi na kubobea katika Ectronics na Communications.
David ni Mwanataaluma mzuri wa ICT amefanya kazi makampuni mbali mabli na mpaka mauti inamkuta mwajiri wake ni Chuo Kikuu cha DSM, kitivo cha Informatics and Virtual Eduaction.
Ameacha Mke na mtoto mmoja Melisa. Msiba upo nyumbani kwake Chuo Kikuu, unaingilia gate la Maji kama unatokea Ubungo, unaenda kushoto. Tujitokeze kwa wingi kumfariji mjane na mtoto na kutoa msaada wowote utakaohitajika
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
David alisoma Azania Secondary, Usagara High School, alipita pia UDSM kidogo na baadae akamalizia masomo yake Chuo Kikuu cha Mysore, India alikosemea Shahada ya Uhandisi na kubobea katika Ectronics na Communications.
David ni Mwanataaluma mzuri wa ICT amefanya kazi makampuni mbali mabli na mpaka mauti inamkuta mwajiri wake ni Chuo Kikuu cha DSM, kitivo cha Informatics and Virtual Eduaction.
Ameacha Mke na mtoto mmoja Melisa. Msiba upo nyumbani kwake Chuo Kikuu, unaingilia gate la Maji kama unatokea Ubungo, unaenda kushoto. Tujitokeze kwa wingi kumfariji mjane na mtoto na kutoa msaada wowote utakaohitajika
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.