Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ange Di Huon maarufu kama DJ Arafat, msanii maarufu kutoka Ivory Coast amefariki dunia leo, Agosti 12, 2019 baada ya kupata ajali akiwa anaendesha pikipiki usiku wa kuamkia leo. Mfalme huyo wa...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
First things first, lest this gets misconstrued as a hate post - His penmanship is peerless and I wouldn't be able to do this if I didn't at least peep the music. Heard an interview or two last...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hv ule msemo wa kila nabii na zama zake unaweza ukawa unafanya kazi hata kwa wazungu..? nmekuwa nikifuatilia sana mziki wa hawa jamaa (westlife) tokea siku nimewajua mpaka sasa hawajawai nikinai...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Huu ni wimbo wangu mwingine uitwao sikia. usikilize hapa.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapenda Dj arafati kasepa zake kwa sir god Tangulia dj tutaonana kwa sir god Mchizi kapata ajali jana usiku kwenye boda boda baada ya kugongana na gal uso kwa macho Inasemekana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni suala la muda tu, hali si shwari sana kwa mwenendo wa hii lebo! Baada ya Mavoko kuondoka, tutegemee msanii mwingine kuondoka hivi karibuni! Inaonekana kuna watu ambao pengine hawana nia njema...
5 Reactions
43 Replies
8K Views
Assalam aleykum bandugu, Maisha yanaenda kasi sana. Vitu vinatokea ila hatuwezi kuzuia siku zisiendelee na maisha yasichukue nafasi yake! Basi hebu tuzungumzie muziki wetu kidogo hasa upande wa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Asalaam Alykuum wakubwa. Kumekuwa na kasumba moja kwenye kiwanda cha mziki wa bongo flava, kuwa pale inapotekea msanii akawa na spot light kubwa anaanza kupambanishwa na Diamond haijalishi huyo...
22 Reactions
79 Replies
12K Views
Napenda mziki mzuri na video nzuri.kwa ufupi Hawa jamaa(Diamond na Fally Ipupa)wanajua Sana kuimba na kutoa video kali Sana ila ya inama ni video mbaya Sana labda walikua wanaogopa...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Leo nimemsikiliza huyu jamaa. Huwa simpendi ila leo nimemwelewa na sidhani kama ni wa kutupiwa lawama juu ya hili bifu lake na Diamond.
40 Reactions
629 Replies
87K Views
Here are 12 beautiful celebrity interracial marriages that stare us in the face Prince Harry and Meghan Markle The most recent of all celebrity inter-racial marriages has to go to the Duke and...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu bwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa.. √ Uandishi ulioenda shule √Melody √Clean lyrics Everything top notch Sema music...
24 Reactions
89 Replies
12K Views
Mwaka 2018 ndio unaishia hivyo na kwenye kiwanda cha burudani haswa bongofleva tumeshuudia mengi yakukumbukwa. Kikubwa zaidi ni msanii Harmonize kufanya maajabu na singo yake KwaNgwaru, hakuna...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Akihojiwa EATV vanessa mdee amedai licha ya kuwa na kifua kikubwa bwana Jux kitandani alikua kama gogo. Uzi tayari.
12 Reactions
205 Replies
40K Views
Nadhani ingekuwa vyema kuwa wazalendo kidogo, katika moja wapo ya nyimbo zao wakawa wanachomeka neno Serengeti au hata Ngorongoro, itasaidia sana kiutalii wa ndani na wa nje...
0 Reactions
83 Replies
10K Views
Hii thread ni baada ya minong’ono ya Harmonize kuondoka WCB kuzidi kupamba moto , narudia tena ni baada ya Minong’ono maana mpaka sahizi hakuna official statement kutoka pande yeyote ile . Sasa...
9 Reactions
49 Replies
6K Views
Hawa Miamba sijapata kufahamu historia zao ila inshort nikuwa walikuwa wanajihusisha na mziki labda walikuwa maproducer, wanamuziki au hata mameneja wameacha legacy nyimbo ya zamani bila kusikia...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Msaada anayejua jina halisi la msanii Ravany ( Raymond wa kundi la WCB) Au short history ya huyu msanii.
0 Reactions
23 Replies
21K Views
tajiri ambae pia ni gavana wa Mombasa, Kenya ambae anaefahamika kwa jina la Joho kashutumiwa Mara kwa mara na watu wengi tofauti kuwa anahusika na uuzaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya, hata...
1 Reactions
25 Replies
9K Views
Back
Top Bottom