Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Huyu jamaa ni fundi sana nadhani hakuna vocalist kama yeye hapa Bongo maana jamaa anaimba vizuri low keys na high keys hasa kwa upande wa waimbaji wa room.
Siku hizi sisikii nyimbo mpya toka kwake; nani anajua alipo amwambie we need good music?
Kuna hii ngoma yake aisee ni kali sana, yaani ni kali balaa.
Siku hizi sisikii nyimbo mpya toka kwake; nani anajua alipo amwambie we need good music?
Kuna hii ngoma yake aisee ni kali sana, yaani ni kali balaa.