Hiki kipindi kilikuwa hot sana, kilibamba sana na kilikuwa kinapendwa na watu wengi sana. Kilikuwa kinarushwa kila Ijumaa ila kilianza kuyunga kuanzia mwaka 2017 mwishoni na hadi sasa hivi kimekufa kabisa.
Kila mtu amekuwa akisema lake kuhusu sababu za kufa kipindi, wengine wanasema kukosa Content za Diamond kwenye kipindi chao baada yakutokea bifu la Clouds na Diamond.
Sababu Diamond ndo msanii anayefuatiliwa na watanzania wengi, wengine wanasema kukosekana ubunifu kwenye kipindi chao, kifupi maneno ni mengi.
Je, wewe unaona sababu gani kuu imepelekea kufa kwa kipindi hiki?
Kila mtu amekuwa akisema lake kuhusu sababu za kufa kipindi, wengine wanasema kukosa Content za Diamond kwenye kipindi chao baada yakutokea bifu la Clouds na Diamond.
Sababu Diamond ndo msanii anayefuatiliwa na watanzania wengi, wengine wanasema kukosekana ubunifu kwenye kipindi chao, kifupi maneno ni mengi.
Je, wewe unaona sababu gani kuu imepelekea kufa kwa kipindi hiki?