MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Wadau,
Gwiji na mfalme wa R&B R Kelly yupo kwenye wakati mgumu kutokana na tuhuma za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto.
Safari hii tuhuma zimemlemea na kutikisa dunia ya muziki ambayo imempa heshima kwa miaka mingi. Wapo walioamini moja kwa moja tuhuma hizi lakini pia lipo kundi linaloamini ni character assassination na tabia ya wazungu kutaka kuharibu legacy yake kama walivyowachafua akina Tyson, Michael Jackson n.k na kuharibu uelekeo wao kwa stress.
Mkongwe huyu amekimbilia Kanisani na kufanyiwa maombi mazito kama inavyoonekana hapa chini.
View attachment marcusrogerschildoftheking_video_1546726562914.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app
Gwiji na mfalme wa R&B R Kelly yupo kwenye wakati mgumu kutokana na tuhuma za udhalilishaji kimapenzi kwa watoto.
Safari hii tuhuma zimemlemea na kutikisa dunia ya muziki ambayo imempa heshima kwa miaka mingi. Wapo walioamini moja kwa moja tuhuma hizi lakini pia lipo kundi linaloamini ni character assassination na tabia ya wazungu kutaka kuharibu legacy yake kama walivyowachafua akina Tyson, Michael Jackson n.k na kuharibu uelekeo wao kwa stress.
Mkongwe huyu amekimbilia Kanisani na kufanyiwa maombi mazito kama inavyoonekana hapa chini.
View attachment marcusrogerschildoftheking_video_1546726562914.mp4
Sent using Jamii Forums mobile app