fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,801
- 22,452
Baada ya kushindwa kipindi cha nyuma sasa wameanza tena safari hii ila nyani mkuu ametulia tuliii anawaacha wapige kelele wabebane lakini atakuja kuwanyamazisha kidomo domo hao
Unyamwezi babaHicho kinacho ning'inia sikio lakushoto ni nini??
Ameharibika sana, huko nyuma hakuwa hivyo
Uzungu ukizidi uafrika, uzalendo utatoka wapi??Unyamwezi baba
Wanatumia nguvy kubwa sanaaaaaaaa,tena sasa wameungana E-fm na clouds,Ka Harmonize kamekubali kutumika kijinga sanaBaada ya kushindwa kipindi cha nyuma sasa wameanza tena safari hii ila nyani mkuu ametulia tuliii anawaacha wapige kelele wabebane lakini atakuja kuwanyamazisha kidomo domo hao View attachment 1250366
Mtoto wa kiume unavaa hereni inayoning'inia kweli!!!!
Ndo uone akili ya mtoa maada siku hizi JF imeshuka hadhi sana kuwa na watu kama hawaIna maana hamtaki wengine waandae matamasha?
Nyie ni wachawi haswaaaa
Watu kuongea ushabiki usokuwa na tija topic bila hoja za msingiNguvu kubwa inayotumika ni ipi
Ni Magufuli kusema Harmonize awe mbunge wa TandahimbaNguvu kubwa inayotumika ni ipi
Ni Magufuli kusema Harmonize awe mbunge wa Tandahimba