Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,646
- 4,611
Huko Ottawa nchini Canada mnamo 22/03/1994 alizaliwa kijana mmoja aliyepewa jina la Daniel Nwosu Jr.
Namzungumzia jamàa anaye fahamika Kama DAX kwa jina la kisanii.
Utajiuliza kwanini nimeamua kumfungulia huu uzi huyu jamàa.Ni rapper mmoja mkali saana ( kwa upande wangu, ). Ukimskiliza unapata hisia za Mkongwe Eminem au ukijiuliza vizuri unaweza fikiri huyu ni version ya 2PAC.
Jamàa inavovyosemekana wakati anakua alikuwa hapendi rap, yeye alikuwa anapenda saana mchezo wa basketball( sijui Nini kilitokea akageukia rap ukubwani).
Watu tumemfahamu saana kwenye wimbo wa ~Dear God~
Namzungumzia jamàa anaye fahamika Kama DAX kwa jina la kisanii.
Utajiuliza kwanini nimeamua kumfungulia huu uzi huyu jamàa.Ni rapper mmoja mkali saana ( kwa upande wangu, ). Ukimskiliza unapata hisia za Mkongwe Eminem au ukijiuliza vizuri unaweza fikiri huyu ni version ya 2PAC.
Jamàa inavovyosemekana wakati anakua alikuwa hapendi rap, yeye alikuwa anapenda saana mchezo wa basketball( sijui Nini kilitokea akageukia rap ukubwani).
Watu tumemfahamu saana kwenye wimbo wa ~Dear God~