DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Jamaa kasema yupo katika hatua za mwisho za kuachia albam yenye mchanganyiko wa nyimbo zake zote kali,
albam itakuwa na nyimbo 13 zikiwemo
1.KIKAO CHA FAMILY
2.NAJUA
3.MAMA WATOTO
4.SIO WAOAJI
5.MAKEUP
6.WANAHOFIA
7.SARA
8.KUWA NA SUBIRA ft Mapacha
9.KAMA HUWEZI ACHA ft jide
na nyinginezo...
Kuna watu wanamfananisha na Ben paul huyu jamaa ila kiukweli kibongobongo hana mpinzani kwa hakika
albam itakuwa na nyimbo 13 zikiwemo
1.KIKAO CHA FAMILY
2.NAJUA
3.MAMA WATOTO
4.SIO WAOAJI
5.MAKEUP
6.WANAHOFIA
7.SARA
8.KUWA NA SUBIRA ft Mapacha
9.KAMA HUWEZI ACHA ft jide
na nyinginezo...
Kuna watu wanamfananisha na Ben paul huyu jamaa ila kiukweli kibongobongo hana mpinzani kwa hakika