Pocket money ya Maulid Kitenge eti 1 million

Jane Lowassa

JF-Expert Member
May 10, 2016
4,760
8,526
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao hawana mbele wala nyuma
 
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao hawana mbele wala nyuma
Kutembea na hela nyingi, tena hela za kibongo milioni gunia, ni ujima.

Mimi natembea kwenye wallet ukichukua kadi moja tu ina $20,000.

Na hiyo ni moja tu. Bado account nyingine.

Natembea na $200 cash za $20 (noti kumi) kwa emergency itakayohitaji cash au manunuzi ya sehemu ambazo hawachukui card, ambazo ni chache sana. Ni rahisi kuambiwa watu hawachukui cash wanachukua card tu kuliko kuambiwa hawachukui card wanachukua hela cash tu.

Hususan kwa sababu watu wanatumia sana mitandao na kadi siku hizi.

Zaidi ya hapo ni ushamba na kujifanya uwe target. Sasa hiyo watoto wa kihuni wakishamjua hivyo wanamfanya target.
 
Kutembea na hela nyingi, tena hela za kibongo milioni gunia, ni ujima.

Mimi natembea kwenye wallet ukichukua kadi moja tu ina $20,000.

Na hiyo ni moja tu. Bado account nyingine.

Natembea na $200 cash za $20 (noti kumi) kwa emergency itakayohitaji cash au manunuzi ya sehemu ambazo hawachukui card, ambazo ni chache sana. Ni rahisi kuambiwa watu hawachukui cash wanachukua card tu kuliko kuambiwa hawachukui card wanachukua hela cash tu.

Hususan kwa sababu watu wanatumia sana mitandao na kadi siku hizi.

Zaidi ya hapo ni ushamba na kujifanya uwe target. Sasa hiyo watoto wa kihuni wakishamjua hivyo wanamfanya target.

Still dealing with cards? They got Apple Pay, Samsung Pay, cardless ATMs......it’s the digital wallet era my guy.
 
Still dealing with cards? They got Apple Pay, Samsung Pay, cardless ATMs......it’s the digital wallet era my guy.
Kuna sehemu nyingi hawatumii hizo. Hizo ninazo pia. Watu wanachangiana CashApp etc, most local stores will take cards but not Apple Pay etc.

Plus, I detest Apple anything.

I bought the large iPad, I think its the 12 inches one, primarily because I was fascinated by the DJing software.

I dropped a G on that, I belive it was the 64GB version too.

I ended giving it to dogo mmoja hivi cause I just wasn't into that whole Apple ecosystem thing.

Samsung Pay is a joke, even in Gotham it is not that well adopted.

Plus, I know too much of how the sausage is made to be an early adopter.
 
Kutembea na hela nyingi, tena hela za kibongo milioni gunia, ni ujima.

Mimi natembea kwenye wallet ukichukua kadi moja tu ina $20,000.

Na hiyo ni moja tu. Bado account nyingine.

Natembea na $200 cash za $20 (noti kumi) kwa emergency itakayohitaji cash au manunuzi ya sehemu ambazo hawachukui card, ambazo ni chache sana. Ni rahisi kuambiwa watu hawachukui cash wanachukua card tu kuliko kuambiwa hawachukui card wanachukua hela cash tu.

Hususan kwa sababu watu wanatumia sana mitandao na kadi siku hizi.

Zaidi ya hapo ni ushamba na kujifanya uwe target. Sasa hiyo watoto wa kihuni wakishamjua hivyo wanamfanya target.
Kweli kabisa
 
Kuna sehemu nyingi hawatumii hizo. Hizo ninazo pia. Watu wanachangiana CashApp etc, most local stores will take cards but not Apple Pay etc.

Plus, I detest Apple anything.

I bought the large iPad, I think its the 12 inches one, primarily because I was fascinated by the DJing software.

I dropped a G on that, I belive it was the 64GB version too.

I ended giving it to dogo mmoja hivi cause I just wasn't into that whole Apple ecosystem thing.

Samsung Pay is a joke, even in Gotham it is not that well adopted.

Plus, I know too much of how the sausage is made to be an early adopter.

Cash App niliijaribu bongo juzi juzi tu hapa lakini haikufanya kazi. Naona haijafika bado...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom