Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Come easy go easy..... Hakuna mapenzi mpaka kufikia kuvishana pete ndani ya masaa 48 tangu kufahamiana... Hapo lazima mmoja apigwe
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka kuishi maisha ya juu tofauti na uhalisia unaotokana na kupewa umaarufu bandia na magazeti ya udaku
Mbuta na ujanja wake kapigwa ndefu fulani kuanzia kumgharamia mchumba mavazi starehe, pesa ya pete 2m, fedha tasilimu, matengenezo ya gari chakula mavazi nknk.. Aliyempiga si mwingine bali ni mbongo muvi na genge lake
Diamond anawafahamu vema wabongo muvi.. Hana hamu nao walimchanganya akachanganyikiwa kabisa...
Ukikutana na bongo movie wamechafua meza jua tu ya kwamba kuna lofa keshapigwa mahali au ndio Don kwenye hiyo meza
Mbuta sijui ninini kilimchanganya mpaka kugawa kipapa the same nite alipotongozwa.. anyway alikolezwa na wenye mji wao.. Wasiojua kutofautisha maisha halisi na kazi zao....
Bongo movie wameuanza mwaka kwa DOA kubwa jeusi la aibu ya wizi na utapeli
Jr
Wabongo muvi.. Mungu anawaona na ndio maana hata tasnia yenu hii inaelekea kaburini.. Kwasababu ya wizi, uongo utapeli na kudanga... Chanzo cha yote haya ni kutaka kuishi maisha ya juu tofauti na uhalisia unaotokana na kupewa umaarufu bandia na magazeti ya udaku
Mbuta na ujanja wake kapigwa ndefu fulani kuanzia kumgharamia mchumba mavazi starehe, pesa ya pete 2m, fedha tasilimu, matengenezo ya gari chakula mavazi nknk.. Aliyempiga si mwingine bali ni mbongo muvi na genge lake
Diamond anawafahamu vema wabongo muvi.. Hana hamu nao walimchanganya akachanganyikiwa kabisa...
Ukikutana na bongo movie wamechafua meza jua tu ya kwamba kuna lofa keshapigwa mahali au ndio Don kwenye hiyo meza
Mbuta sijui ninini kilimchanganya mpaka kugawa kipapa the same nite alipotongozwa.. anyway alikolezwa na wenye mji wao.. Wasiojua kutofautisha maisha halisi na kazi zao....
Bongo movie wameuanza mwaka kwa DOA kubwa jeusi la aibu ya wizi na utapeli
Jr