brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaejua atupe taarifa
Sent using Jamii Forums mobile app