Yuko wapi huyu muigizaji alikuwa fundi sana

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies hatumuoni
Anaejua atupe taarifa
Inst-image-5.jpeg
Inst-image-6.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu hajasoma UD bana amemaliza mwaka 2013 chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere
Bachelor Degree in Politics and Management of Social Development

$ There's clear light at the end of the Tannel $

Sasa nilikuwa napishana nae sana miaka hiyo nikajuwa mwanafunzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom