Wakati huu wa maisha magumu na pesa imekuwa ngumu kupatikana,
Nikawaza zile millioni mia tano za yule aliyekuwa mshindi wa shindano la Big brother Afrika, bwana Idriss Sultan ni kwamba ametumbua...
Wanajamvi leo hii kila kona kumezagaa skendo ya Diamond ya kufanya utapeli baada ya kupokea advance kutoka kwa promota na kutotokea kwenye shoo huko Arusha, promota anadai alimlipa Diamond advance...
Aman iwe juu yenu
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Nina shida sana na huyu ninja mtu mpambanaji sana kidbwoy
Je office yake iko wapi hapa mwanza
Na huwa anapenda kukaa wapi na...
Mwanamuziki Robyn Rihanna Fenty (32) maarufu Rihanna kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya Wanamuziki tajiri wanaoishi Uingereza na kushika nafasi ya 3. Amehamia London mwaka 2019
Rihanna...
Hawa vijana ni kutoka rFa Redio free Africa ni watangazaji wa michezo wazuri
Wanafaa sana wakiungana katika kipindi cha sport arena wasafi fm
Michael Noel
Gwamaka Francis
Exalioth
Machinga...
Nimesikiliza wimbo wa Harmonize, nyimbo ya maombolezo.
Kwa kweli asante sana kijana wetu, wimbo wako una hisia kali na umenitoa machozi. Kwenye wimbo Kijana kamlilia mzee, anasema kama siyo...
Wasalaam wana jamvi!
Baada ya msiba wa Rais mstaafu tulitegemea wasanii wetu ndio watoa faraja wakuu katika kipindi cha maombolezo kwa tungo nzuri zenye mantiki na maana kuu.
Baada ya msiba...
Ni takribani wiki na ushee sasa Master Jay kakaa kimya sana na page zake za mitandao ya kijamii zipo kimya zaidi ya wiki.
Master Jay ni msomi mwenye degree ya Uingereza katika fani ya uhandisi na...
Leo jumatano ya tarehe 29 July 2020 watz tumemzika Rais mstaafu wa Awamu ya 3 Hayati BW Mkapa. Lakini wanamuziki kutoka Label ya WCB hawajaonekana kokote, either Masaki kwenye makazi ya Marehemu...
Wazee nimepita sehemu nikakuta haters wa Diamond wanasifia kishenzi kwamba Asley kanunua gari kali kuliko msanii yoyote hapa bongo,
Sasa mimi huwa sipendi ujinga nikaingia chimbo nikafanya...
Hili ndo gari aina ya BMW ambalo Diamond
alizawadiwa na Menejement yake
Fella alikula keki kwa niaba ya mameneja wake
Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema party
hiyo iligharimu...
Wajumbe?!
Nimeguswa kuandika hii thread, ukizingatia leo tunampokea Tundu lissu niliyempa jina la "Muujiza unaoishi".
Natambua sana kuwa wanawake ni wavumilivu sana sana hasa kwenye shida ngumu...
Nimeona makada mbalimbali wa CCM wakiwemo wasanii wakiripotiwa kuchukua fomu za ubunge katika majimbo mbalimbali na viti maalumu.
Katika wasanii ambao nilitarajia kukutana na picha ama taarifa...
Kwa wakazi wa Kinondoni, Tunaomba Mtukumbushe kadri mtakavyoweza, Uwezo na Matukio Aliyoyafanya Juma Ngedere, Kipindi chote Alichovuma Katika Michezo ya Kujihami... Historia yake na Alipo sasa...
Jioni hii kwenye TBC aridhio nimemwona mtangazi Spensa Lameck akiripoti kutoka Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam . Je, itakuwa amerudi TBC akijiandaa kukiwasha kwenye kampeni tena kunako mwezi ujao...
Quest in 2014
BornRichard Austin Quest
9 March 1962 (age 57)
Liverpool, Merseyside, England
NationalityBritish
EducationAiredale and Wharfedale College
University of Leeds
Vanderbilt...
Huyu jamaa nakumbuka kipindi kile ITV alikuwa fundi Sana wa kuvaa uhusika aling'aa Sana na kina dokta cheni, sijui siku hizi yupo wapi na Kama ameachana na Mambo ya Sanaa maana hata kwenye movies...