Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,504
- 51,099
Nimesikiliza wimbo wa Harmonize, nyimbo ya maombolezo.
Kwa kweli asante sana kijana wetu, wimbo wako una hisia kali na umenitoa machozi. Kwenye wimbo Kijana kamlilia mzee, anasema kama siyo juhudi za mzee watu wa kusini lile daraja wangelipata wapi.
Kijana kaimba kwa hisia kali kwelikweli. Anaimba jinsi maraisi wenzie, Magufuli, Kikwete na Mwinyi wanavyomlilia.
Rest in Peace Benjamin Mkapa, You are our hero!
Kwa kweli asante sana kijana wetu, wimbo wako una hisia kali na umenitoa machozi. Kwenye wimbo Kijana kamlilia mzee, anasema kama siyo juhudi za mzee watu wa kusini lile daraja wangelipata wapi.
Kijana kaimba kwa hisia kali kwelikweli. Anaimba jinsi maraisi wenzie, Magufuli, Kikwete na Mwinyi wanavyomlilia.
Rest in Peace Benjamin Mkapa, You are our hero!