Yuko wapi Vital Maembe mkali wa Sumu ya teja?

Mla Bata

JF-Expert Member
Jan 24, 2013
7,842
17,498
"Huyu huyu gavana wa benki yetu balali eeh, mamaa eeh,

Alishiriki wizi akakimbilia mbalii yoo, mamaa ooh

Eti wakatupasha habari, kwamba amefariki dunia, aaah aah.........

Wasaalam!

Sahau mistari yake mikali kama hiyo hapo juu kutoka kwenye wimbo maridhawa wa "kudu", kuna sumu ya teja , salama, kariakoo, Hotuba ya mlevi, hotuba n.k

He's a real meaning of talented artist, unfortunately less credit is given to this guy.

well najua kuna nyuzi nyingi zilikwishaandikwa kumuelezea huyu "mwanagenzi' wa lugha yetu adhimu ya kiswahili, (si vema kurudia tena).

Lakini ni muda sasa sijapata wasaa wa kusikia habari zake ama kazi zake mpya tangu mara ya mwisho nilipomuona akiperform pale Tasuba, bagamoyo.

Yu wapi huyu mwanaharakati aliyejua si tu kuburudisha lakini pia kufikisha ujumbe wa kuikosoa na kuirekebisha serikali kupitia kazi zake???





Let's meet at top, cheers
images-3.jpeg
images.jpeg
 
Jamaa kwao ni Mtoni, Mtongani. Namfahamu yeye, na kaka zake na mdingi wao tangu enzi tuko wadogo. Ni watu poa sana. Nakumbuka alikuwa na dadaake mmoja chuma sana, yaani ile black beauty flani halafu kaenda hewa kinyama.
 
"Huyu huyu gavana wa benki yetu balali eeh, mamaa eeh,

Alishiriki wizi akakimbilia mbalii yoo, mamaa ooh

Eti wakatupasha habari, kwamba amefariki dunia, aaah aah.........

Wasaalam!

Sahau mistari yake mikali kama hiyo hapo juu kutoka kwenye wimbo maridhawa wa "kudu", kuna sumu ya teja , salama, kariakoo, Hotuba ya mlevi, hotuba n.k

He's a real meaning of talented artist, unfortunately less credit is given to this guy.

well najua kuna nyuzi nyingi zilikwishaandikwa kumuelezea huyu "mwanagenzi' wa lugha yetu adhimu ya kiswahili, (si vema kurudia tena).

Lakini ni muda sasa sijapata wasaa wa kusikia habari zake ama kazi zake mpya tangu mara ya mwisho nilipomuona akiperform pale Tasuba, bagamoyo.

Yu wapi huyu mwanaharakati aliyejua si tu kuburudisha lakini pia kufikisha ujumbe wa kuikosoa na kuirekebisha serikali kupitia kazi zake???





Let's meet at top, cheers View attachment 1523508View attachment 1523509
Niliona kama alijiunga act juzikati hapo
 
Nina maneno,na misemo
Kudu,kuduaaa

Yupo bagamoyo anapiga mziki wa live,wikiend ukiwa beach pale tasuba huwa anapiga gitaa tu
Bagamoyo?? Aisee, Huyu jamaa nadhani hajataka tu kwenda "mbele" last time kumuona pale tasuba, alikuwa na fans wengi wa kizungu walioonekana kumuhusudu sana.






Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Jamaa kwao ni Mtoni, Mtongani. Namfahamu yeye, na kaka zake na mdingi wao tangu enzi tuko wadogo. Ni watu poa sana. Nakumbuka alikuwa na dadaake mmoja chuma sana, yaani ile black beauty flani halafu kaenda hewa kinyama.
Aisee 😅, hivi jamaa ni watu wa wapi hawa?





Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Aisee 😅, hivi jamaa ni watu wa wapi hawa?





Let's meet at the top, cheers 🥂


Kwao ni Mtoni, Mtongani. Wazazi wake ni wafipa wa Sumbawanga. Kule Mtoni, Mtongani wamejaa Wafipa, Wangoni na siku hizi wameingia Waha. Wazaramo na Wandengereko ndio wenyeji.
 
Kwao ni Mtoni, Mtongani. Wazazi wake ni wafipa wa Sumbawanga. Kule Mtoni, Mtongani wamejaa Wafipa, Wangoni na siku hizi wameingia Waha. Wazaramo na Wandengereko ndio wenyeji.
Well, salute mkuu!


Let's meet at the top, cheers 🥂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom