Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Daaaaaah Habarini Wana jamvi...?
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na muda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na muda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.