Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Awali iltangazwa kuwa Juma Nature Kiroboto a.k.a Kibra atakuwepo pale Nangwanda Sijaona kwa ajili ya show ya Wasafi Festival iliyofanyika tarehe 2 mwezi huu.
Sasa show ikafanyika Nature hajaonekana. Shabiki mmoja huko Insta akaona amuulize swali Nature mbina ulitangazwa utakuwepo Nangwanda lakini hujaonekana, Juma Nature pasipo kupepesa macho wala kufikiria mbali zaidi akajibu, “Nafanyaje Show kwa laki tano si dharau hizi”
Ukimuona Juma Nature utamwambia nini?
Sasa show ikafanyika Nature hajaonekana. Shabiki mmoja huko Insta akaona amuulize swali Nature mbina ulitangazwa utakuwepo Nangwanda lakini hujaonekana, Juma Nature pasipo kupepesa macho wala kufikiria mbali zaidi akajibu, “Nafanyaje Show kwa laki tano si dharau hizi”
Ukimuona Juma Nature utamwambia nini?