Pamoja na kudhihakiwa sana mitandaoni huyu dogo anazidi kung'ara duniani. Apewe support na vyombo husika. Watanzania wanahitaji hv vipaji kuondoa stress
NI KISASI AU CHUKI...?
"Tulisikia yowe kisha kishindo kikubwa, duuuuf. Baada ya hapo ilisikika sauti ya mwanaume ikipayuka." Ndivyo mashahidi walivyolielezea tukio la kifo cha Anele 'Nelli'...
Ngoma ya Msanii Roma Inayoitwa Mimi ni Nani haijafanya vizuri kama ilivyotarajiwa au ilivyotanguliwa na ile ya Nipeni Maua yangu
Je shida ni nini? Amekosa content au style ya ngoma yake hii ya...
Kama ushawahi usikia huu wimbo Wa zali la mentali Wa prof Jay utakuwa na ww unatamani kujua ni nani yupo nyuma ya ile sauti ya kike katika ule wimbo. Ukiangalia video yake utamuona mwanadada...
Kupima ukubwa wa mtu ni lazma kujua ana nyimbo ngapi ametoa Toka ameanza Kuimba muziki, msaniii harmonize amerelease nyimbo 127 Toka ameanza Kuimba, na hii idadi amemuacha diamond mbali sana...
Baada ya Konde kulia mbele ya media ku justify ubaya wa mondi, kumbe nae alimfanyia Angella [emoji23][emoji23]
"Sikuwahi kuwa na mimba ya Harmonize wala hatukuwahi kuwa kwenye mahusiano na...
Madonna ameahirisha ziara yake baada ya kuwa mgonjwa na kukaa katika chumba cha wagonjwa mahututi kwa siku kadhaa.
Taarifa iliyotumwa kwenye Instagram na meneja wa mwanamuziki huyo wa Marekani...
Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo?
Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu?
Naona wanatupia picha zenye makalio yao,sasa sijui ndio kututamanisha tuvunje amri ya Mungu inayotuasa tusitamani mwanamke asiye mke wetu au vipi?
Mimi kama kijana wa kilokole sijapenda hii tabia...
Chukua hata uraia wa Marekani kwa muda ukane huu wa bongo.
Ukifika kule anzia chini kabisa, jishushe fanya remix ya nyimbo zako hasa zile za zamani ukiimba kiingereza kwa wingi kiswahili kidogo...
Sometimes inabidi tukubali kuna watu mapengo yao hayana replacement kutokana na uwezo extra walionao.
Radio Free Africa ilipoteza mvuto baada ya kuachana na waandishi wao ambao hata leo hii ni...
#BURUDANI Msanii wa HipHop @roma_zimbabwe amefunguka kuwa tafiti zake zimeonesha kuwa marehemu Albert Mangwea alikuwa anapendwa na wasanii wenzake wote hasa wa kizazi cha sasa.
"Tafiti yangu...
Jana ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza nasikia ngoma ya lavalava nilikuwa sijawahi kuitafuta kuisikiliza ila wakati nipo kwenye daladala ndipo ngoma nikaisikia ya Tajiri jamaa latisha Sana kuanzia...
Leo 27-04-2020 Mwana FA Atakua Clouds FM Kwenye kipindi Cha XXL Kuanzia 13:00 - 16:00
Zimetimia jumla ya siku 39 tangu ‘Shabaan Robert wa Kizazi Hiki’ MwanaFA ajitangaze kuwa mmoja wa waathirika...
Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji...
Habari za weekend wadau wa burudani.?.
Katika anga ya muziki hasa wa hapa nchini kwetu ukizungumzia bongo fleva, hip hop na miondoko miongine mbalimbali kumekuwa na wasanii amabo mara nyingi...
Matajiri wawili Duniani, Bwana Elon Musk na Mark Zuckerberg wamekubali kuzichapa kavu kavu kwenye ulingo uliofungwa, caged match siku zijazo mjini Nevada.
Binafsi natabiri Elon Musk kumfumua Mark...
Hebu tuongee kidogo ndugu zangu wa Hip Hop hasa wale Old is gold. Na wengine.
Hivi mwaka 2005 wakati A.k.a Mimi Album ya Albert Mangwair ikichukua Album bora, Ilishindana na Album zipi?
Rest...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.