Wenzio wanaangalia pesa na sio sifa Kama adam mchomvuKachemka sana alipofikia alitakiwa tbc au azam
Wacha EFM waongeze wataaaluma si yule KITENGE anazeeka na kuzidi kuwa mpumbavu badala ya kuwa mweledi kwa kipande cha fedha za waarabu.Mtangazaji Salim Kikeke amechukuliwa rasmi na Kituo cha Radio na TV cha E FM ba TVE
Kitenge yupi huyo alieko EFM?Wacha EFM waongeze wataaaluma si yule KITENGE anazeeka na kuzidi kuwa mpumbavu badala ya kuwa mweledi kwa kipande cha fedha za waarabu.
Huyu dogo mwishowe atakuja kuwa mtangazaji wa mtaani tu kwenye Wasafi RadioMtangazaji Salim Kikeke amechukuliwa rasmi na Kituo cha Radio na TV cha E FM na TVE ikiwa ni miezi 5 tangu alipoachana na BBC ya Uingereza.
Vipi huu usajili huu Majizzo katisha au Kikeke kachemka?