BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,495
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa wafuasi wako kati ya wale wengi wanaopenda kile unachokifanya unapokuwa nyuma ya kipaza sauti(mic) uwezo wako ni masterpiece.
Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.
Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.
Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.
After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.
Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.
Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.
Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.
Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.
Nimefurahi sana kuanzishwa na kufanya vizuri kwa channel yako ya YouTube Simulizi na Sauti huu ni ushahidi tosha kuwa unafanya kazi nzuri ambayo imekubalika ndani na nje ya Tanzania.
Kipindi upo Radio Free Africa nilitamani sana kuona picha yako bahati mbaya haikuwezekana kutokana na teknolojia ya wakati huo unfortunately yakatokea yakutokea mkatoka RFA na huo ndio ulikuwa mwanzo wa RFA kupoteza mvuto. Ikapita miaka mingi bila ya kujua upo wapi na unafanya nini wengi tuliamini ndio mwisho wa kusikia sauti yako as you know ule msemo wa vizuri havidumu.
Mara paah nacheki TV nakutana na kipindi chako kinaitwa Chill na Sky what a surprise.. mtu ambaye nilikuwa na wish kumuona anafananaje namuona kwenye Televisheni akiwahoji watu maarufu tena katika ubora wa hali ya juu kwangu mimi ilikuwa moja kati ya siku zangu nzuri.
After that nikaanza kufuatilia kazi zako YouTube ndipo hapo nikakutana na channel yako Simulizi na Sauti channel ambayo ina contents zilizokwenda shule kuanzia zile za udaku, Elimu kupitia Fix you, interview za wasanii na wafanya biashara kimsingi unajua unachofanya by the way ile Interview na Mkunde Binti mdogo anayemiliki Hardware ilini inspire sana.
Before sijajua kama umerudi kwenye game nilikuwa na list yangu ya watangazaji ambao nilikuwa nawapenda kufuatilia show zao maana na wao wanafanya vizuri list ilikuwa hivi
1. Salama Jabir kipindi Salama na
2. Khaled Gangana kipindi nipe tano
3. Millard Ayo
Since nimenotice umerudi kwenye game na still unawasha moto kama zamani umeingia directly kwenye list ya watangazaji naowakubali hususani show zao.
Juzi kati nilikuona Posta ilibidi nisimame nikucheki tu nilitamani kuja kukupa hi na nikuombe japo hata selfie ila ilibidi nikaze kiume nipunguze shobo maana hata simu yenyewe ya selfie sina si unajua Itel tena Chama la wana.
Skywalker keep doing it brother unafanya kazi nzuri sana. Binafsi nitaendelea kuangalia kile unachofanya and if you don't mind Thursday ni Throw back ingependeza kama ungekuwa unatuletea interview za wasanii waliofanya vizuri zamani na mitikasi yao si unajua tena tushakuwa wahenga.
Mwisho nilipenda ulivyokiri kuwa ulikuwa na ndoto za kuja Dar es salaam hii dream tunashare maana na mimi kipindi nipo Namtumbo ulikuwa huniambii chochote kuhusu Dar es salaam.