Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,525
- 22,016
Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.
Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.
Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika.
Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.
Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika.