Lil Wayne's new album sold 964,000 copies in its first week on saleLil Wayne has set a new iTunes sales record with the release of his tenth studio album.
Total sales for the American rapper's...
Wadau wa jf naamini wengi mtakuwa mnamkumbuka dj ommy ambaye alikuwa redio one miaka ya nyuma, je kuna mdau yeyote ana habari dj huyu yupo wapi siku hizi
Ni ukweli usiopingika ya kua Blog ya Issa Michuzi ni moja ya blog iliotoa mchango mkubwa katika kuhabarisha ,kuburudisha,kuelimisha n.k tumpongeze ndugu yetu kwa blog yake kutimiza miaka HAPPY...
I'm writing this letter to tell you that I'm leaving you. I've been a good wife to you for the last 20 years
& I have nothing to show for it, and the last 2 weeks have been hell. Your boss called...
Mcheza kabumbu mwenye kipaji cha hali ya juu na vibweka visivyoisha uwanjani na nje ya uwanja raia wa Utaliano super mario ballotell anatarajiwa kuhojiwa na polisi ya italia kufuatia Mchezaji huyo...
Huyu jamaa Ambwene Yessaya ana wimbo wake mpya unaoitwa 'Speak with your body'. Huo wimbo una vionjo vya wimbo wa 'Teamo' wa mwanadafada Rihanna. Tetesi ni kwamba mwanadafada amepata nyuzz za...
KNOCKED UP: A pregnant Beyonce arrives at the MTV Video Music Awards.
Beyonce Knowles has revealed that she is pregnant with her first child.
The 29-year-old singer has announced...
Jambo Wadau!
Kwa yeyote anayefahamu. Huyu kijana Cabo Snoop (aliyeimba wimbo 'windeck' unaotamba hivi sasa) ni raia wa nchi gani? Au ni kikundi cha wanamuziki wa nchi gani? Nawasilisha!
Wanajamii naomba kuuliza swali hili, hivi huyu Nape ni dini gani? Kwani ninavyokumbuka wakati Mzee Moses Nnauye amefariki alizikwa kwa imani ya dini ya kiislamu. Lakini toka Nape ameanza kuwa...
'Kung Fu Panda 2' becomes highest-grossing film directed by a woman by John Young
Categories: Animation, Box Office, Movie Biz
Comments 25
Add comment...
Wakuu huyu ni mmoja wa wanamichezo ambao kesi zao zilivuta hisia za watu wengi sana. Nakumbuka wakati kesi yake inafunguliwa nilikuwa Form 3 na sikuweza kufuatilia na kuelewa zaidi ya hapo. Kuna...
eti hii imekaaje?
Mange Kimambi vs Julius Mgaya aka KIM - Wazalendo Forums
inaonekana kule kwenye source mwenyewe aliifuta lakini wenzie walimzidi kete
I hope next time atakuwa makini...