Kijana wetu JF akifunguka kwenye interview na XXL. Kweli mbunge noma kakaa kulia halafu kapiga overtake cheki link hii hapo chini
Jaffarai Shyrose Bhanji Amenisaliti Na Mbunge Wa Mby Mjini Mr II
Najua kama binadamu una mapungufu yako ya kibinadamu.
Lakini kwenye kazi yako unafanya vizuri sana na unaweza kufanya vizuri zaidi iwapo tu utaenda shule ya kitaaluma.
Hii itasaidia sana kwako...
http://youtu.be/JQzBVzvUpEo
Msikilize alivyo wapakipaumbele wanawake!!lakini kwa ujumla wake alikuwa boya!!!
http://youtu.be/MgUe7OI0a7w
Tanzania ya sasa anatakiwa maamuzi kama ya amini.
Wana Jf jana ktk ukumbi wa kiss club mwanza tulikuwa na mastaa kibao waliopata kutamba uko nyuma,kilichonishangaza mimi ni kuona jinsi gani walivochoka yani hadi konyagi wanagongea kwa watu...
Hivi hii wiki ya nenda kwa usalama barabarani ina maana gani wakati hata hizo stika za kuonesha magar yanakidhi viwango vya kuwa barabarani zinatolewa bila gari kukaguliwa au ndo wanakagua mifuko...
combination ya Michael Baruti na Zembwela kwenye kipindi cha SUPAMIX kinachoruka hewani kila siku ya jumatatu mpaka ijumaa, kupitia East africa Radio ni nzuri saaaaana....
wawili hawa wanaupeo...
Shocking: Photo apparently showing Michael Jackson's dead body on a gurney on the opening day of the trial of Dr Conrad Murray
Click hapo chini kwenye maneno mekundu
Audio Recording of...
kwa kweli hawa vijana nawakubali sana.naona kama wana upeo mpana sana wa masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi pia...nimfano w akuigwa kwa watangazaji wengine kwenye tasnia hii ya...
Wakuu, nina idea ya kutunga singo ya kumpelekea ujumbe Ngeleja, nilipenda nitumie strategy ya kama "naongea na riz 1" pia naomba wadau waniongezee mistari katika wimbo huo!
Asanteni
Hapa kwetu kama kesi iko mahakamani ni mwiko kuiongelea na hasa kwenye vyombo vya habari. Hapa Kuna mama ambaye alikuwa rafiki ya Michael Jackson anaitwa Hilton anaongea na CNN kama anatoa...
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya moja mkoani Ruvuma amefumaniwa akimmega {akivunja amri ya 6 na} paparazi jina la mkuu wa wilaya ni Juma Madaha mkuu wa wilaya ya Tunduru. Hii imetokea...
Wiki chache baada ya mke wa Rapper Jay-Z,Beyonce kudai ana ujauzito,Imefunguliwa kuwa Rapper Jay Z ana mtoto wa siri wa miaka 9 aitwaye Jerald Andrews,akidaiwa kuzaa na Schenelle Scott,model toka...
Hyo style mliyoanzisha ya udini na mnavyoipa nguvu ndio itayokuja kuwamaiza 2015 ccm make nakujua wazee ambao wanawabeba kila uchaguzi hawatafikia idadi ya vijana wasiodanganyika,
Hyo style mliyoanzisha ya udini na mnavyoipa nguvu ndio itayokuja kuwamaliza 2015 ccm mkae nakujua wazee ambaowanawabeba kila uchaguzi hawatafikia idadi ya vijana wasiodanganyika,
HALI YA HATARI TANZANIA:
Watanzania wote kwa ujumla wetu, wakubwa kwa wadogo, wanaharakati, asasi binafsi na za uuma, viongozi wa dini nk. yatupasa kuamka na kutambua nini kinachoendelea ndani ya...