Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Please join me in celebrating a milestone for this legend of the boxing legend....
0 Reactions
4 Replies
2K Views
amefunguka leo ndani ya supermix ya e.africa radio amedai ameoteshwa na mungu na ameambiwa ataanza kutenda muujiza mpya soon, tena utakua wenye nguvu kuliko kile kikombe maarufu kama kikombe cha...
0 Reactions
72 Replies
8K Views
WanaJF, ninaomba mnipe jina halisi la Bi Kidude na kwa nini alipewa jina hili la Bi Kidude?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
anapiga show kwa macheni nakulipwa mia tano na huyu jamaa alikuwa na hela katesasana kwenye game maisha bwana
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi bila kupata majibu. Hivi unaposema fulani ni star au super star ktk eneo fulani kama ni film industry au ktk soccer...what does this means? Katika...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ma superstar wetu fake wa bongo kila siku wapo kwenye ma bar na kuomba beer
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Januari 29, 2012, Sugu atawaongoza wanaharakati kibao katika shoo babkubwa itakayofanyika kwenye Klabu ya New Maisha, Oysterbay, Dar es Salaam. Sugu ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Huyu mtangazaji wa muda mrefu tena mwenye haiba kubwa katika fani hii. Jana nilimwona kwa mechi ya Twiga Starz, akiwa amenyoa KIDUKU a.k.a 'bwenzi' Huyu bwana, kulingana na uzoefu wake na umri...
0 Reactions
79 Replies
10K Views
nakumbuka huko nyuma mch. rwakatale wa mikocheni B assemblies of God aliwahi kutumia mtindo wa kununua vitambaa (leso) vyeupe na kuviombea kisha anawapa watu ati wakivitumia kama kuviwekwa kwenye...
1 Reactions
108 Replies
15K Views
Nimesoma maandishi ya Mohamed Said na nimegundua kama kila mtu angekuwa kama yeye nchi hii isingefika hapa ilipofika. Mohamed Said ni shujaa anayethubutu kusema yale ambayo wengi wetu wanayaogopa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
nimefurahi kuona kituo cha matangazo cha DTV kikiwapa airtime VINEGA sio tu kupiga nyimbo zao hata kuwafanyia interview na kupata kuwaelewesha wananchi madhumuni ya vinega. safi sana. ova
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida msichana 1 kutoka mkoani Kirimanjaro aliyejitambukisha kwa jina la Yusra Bakari amejitokeza hadharani kuwa anampenda Diamond kupita kiasi, na yuko radhi kuoldwa nae...
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Nilisikia wakiwa morogoro walileteana zengwe na 20 akamtukana sana Walter cjui ndo alikua nyasi au alikua tungi..? Embu niupdate jaman wats goin on naw btn the 2?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimesikiliza wimbo wake radio one NIKO MAKINI NA FANI,umenikumbusha mbali. Huyu jamaa alikuwa mzuri kwenye mashairi aisee!
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hili linaitwa jukwaa la celebrities, je ni nini sifa za mtu kuitwa kuwa yeye ni celebrity hasa. Tusaidiane wakuu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman me nina cku nyingi sana cjamckia wala kumuona Lulu magazetini,hvi bdo yupo kweli au ndyo kashaenda kumfuata Justin Beiber mbele mbele coz na yeye haishiwi na matukio?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeona videos na kusikia nyimbo mpya za wasanii wenye majina makubwa bongo kama kina Matonya, AY, Mr. Blue, Prof Jay, Jaffarai, Amani, TID na kadhalika na sijapenda nilichokiona. Kwa ufupi ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
duka la mariedo na bidhaa FEKI na CHEAP Kwanza maduka yao yako so depressing...rangi rangi nyingii utafkiri yale cover ya sinema za porn za 1960's pili sijui kwa nini wanauza vitu feki feki tena...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa...
0 Reactions
69 Replies
9K Views
Jaman mwenzenu nampenda kinoma mwanamziki Linah Sanga..mwenye details zake animwagie
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom