Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
amefunguka leo ndani ya supermix ya e.africa radio
amedai ameoteshwa na mungu na ameambiwa ataanza kutenda muujiza mpya soon, tena utakua wenye nguvu kuliko kile kikombe maarufu kama kikombe cha babu.
Amesema anashangazwa na watu wanaosema amejenga nyumba ya m.200,wakati yeye amenunu gari dogo moja na ka-lori kakubebea dawa,na nyumba ndngo isiyofika thamani m.10
amedai watu bado wanamiminika toka msumbiji,malawi,mombasa na kenya.
Kuhusu bei ya tiba amesema ni ileile sh.500 au sh100 kwa wakenya.
Mwisho kamalizia kwa kusema ameoteshwa muujiza mpya unakuja.zimbwela na baluti walipomuuliza kuhusu list ya vigogo..ameng'aka na kudai ni siri.
amedai ameoteshwa na mungu na ameambiwa ataanza kutenda muujiza mpya soon, tena utakua wenye nguvu kuliko kile kikombe maarufu kama kikombe cha babu.
Amesema anashangazwa na watu wanaosema amejenga nyumba ya m.200,wakati yeye amenunu gari dogo moja na ka-lori kakubebea dawa,na nyumba ndngo isiyofika thamani m.10
amedai watu bado wanamiminika toka msumbiji,malawi,mombasa na kenya.
Kuhusu bei ya tiba amesema ni ileile sh.500 au sh100 kwa wakenya.
Mwisho kamalizia kwa kusema ameoteshwa muujiza mpya unakuja.zimbwela na baluti walipomuuliza kuhusu list ya vigogo..ameng'aka na kudai ni siri.