WanaJF, ninaomba mnipe jina halisi la Bi Kidude na kwa nini alipewa jina hili la Bi Kidude?
Kuna raha yake kupata info kutoka kwa wanaJF wenyewe kuliko kupambana na google. Asante kwa hilo jina.Anaitwa Fatuma binti Baraka, jina la Kidude ni la kisanii.
Wakati mwingine make use of Google na uache kusumbua watu humu.
Sawasawa?
Kuna raha yake kupata info kutoka kwa wanaJF wenyewe kuliko kupambana na google. Asante kwa hilo jina.
Mtumeeee Young_Master! Kwa nini unanitolea kali hivyo? Yaani nivuke bahari kisa kutafuta jina la mtu? Hata hivyo namshukuru Mphamvu keshanipa jina.nadhani ingekuwa vyema kama ungeenda Zanzibar ukamuuliza mwenyewe. nadhani eyey atakupa jibu zuri
WanaJF kubadilishana habari naona ndiyo 'essence' ya JF. Ulivyoingia Google na wikipedia kunisaidia umeonyesha moyo wa kiJF unaotakiwa! Nashukuru nduguwewe nawe?
Sasa hizi taarifa nilizokupa mimi nimezitoa Wikipedia via Google.
Halafu hao wana-JF wana 'u-wenyewe' gani mpaka uwaweke juu hivyo?