Nimesikiliza wimbo wake radio one NIKO MAKINI NA FANI,umenikumbusha mbali. Huyu jamaa alikuwa mzuri kwenye mashairi aisee!
Tatizo umeanza kumpenda baada ya kuwepo chadema.
inaonekana wewe ni wa 90's.
aisee,umeniquote vibaya! Kumbumka enzi zile wanaimba huu mziki ulikuwa unachukuliwa kuwa ni wa wahuni. Huko kwetu kijijini ukipigwa kwenye mkulima station inabadilishwa. Kuzisikia nyimbo zao ni mpaka unavyofika mjini kwa safari ya kwenda shule.
aisee,umeniquote vibaya! Kumbumka enzi zile wanaimba huu mziki ulikuwa unachukuliwa kuwa ni wa wahuni. Huko kwetu kijijini ukipigwa kwenye mkulima station inabadilishwa. Kuzisikia nyimbo zao ni mpaka unavyofika mjini kwa safari ya kwenda shule.
mkuu unatokea kijiji gani?
Tatizo ni nini, mie wa 70 lakini Hip Hop ni muziki wa wakati woteinaonekana wewe ni wa 90's.
Nimesikiliza wimbo wake radio one NIKO MAKINI NA FANI,umenikumbusha mbali. Huyu jamaa alikuwa mzuri kwenye mashairi aisee!