Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,107
- 52,832
Deadline day shoking transfer
Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari maarufu kama langalanga( Formula one)lewis Hamilton anajiunga na team ya Ferrari kutoka Marcedes😅
Hii habari kiukweli imenishtua maana sikutegemea kama ingetokea maana hizi team mbili kwenye .mashindano hayo(Ferrari na Marcedes) ni mahasimu sana kama ilivyokuwa man UTD na Liverpool kwenye football unexpected
Anyway all the best, I mean no malice to nobody 🤒
Naam wakati people wapo bize kufatilia siku ya mwisho ya usajili wa majira ya baridi kwenye soka mara inaibuka taarifa bingwa mara 7 wa mashindano ya mbio za magari maarufu kama langalanga( Formula one)lewis Hamilton anajiunga na team ya Ferrari kutoka Marcedes😅
Hii habari kiukweli imenishtua maana sikutegemea kama ingetokea maana hizi team mbili kwenye .mashindano hayo(Ferrari na Marcedes) ni mahasimu sana kama ilivyokuwa man UTD na Liverpool kwenye football unexpected
Anyway all the best, I mean no malice to nobody 🤒