whatsapp

  1. Anonymous77

    Msaada: Artificial Intelligence whatsapp chat bot

    Habari wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada wa AI CHAT BOT ambayo inafanya kazi WhatsApp. Chat bot ambayo unaweza kuitumia ndani ya WhatsApp kama zile chat bot ambazo ziko kule telegram, kama unajua kuunda chat bot ya AI unavyoweza kuitumia WhatsApp naombeni msaada wenu wenu wakuu ila isiwe ya...
  2. BabaMorgan

    Boss ingia Whatsapp mara moja

    Boss ingia Whatsapp mara moja kuna kitu nimekutumia.
  3. M

    Msaada kwenye Account ya whatsApp business

    Habarini watu wa Mungu,nina tatizo hili kwenye account yangu ya WhatsApp business. Nimejaribu kuwaomba waifungue sioni response yao, msaada tafadhali naombeni.
  4. Lycaon pictus

    Mbona App yangu ya SMS imekuwa kama WhatsApp?

    Habari wakuu. Mbona app ya sms imekuwa kama whatsapp. Hata inaruhusu kuunda niunde group. Imekaaje hii?
  5. Binadamu Mtakatifu

    You need official whatsapp to use this account

    Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official whatsapp japo kwenye kimeo changu nimeinstall custom rom ya lineage os Shida ni kwamba namba zote...
  6. Mkushi Mbishi

    Msaada kutumia whatsapp kwenye desktop

    Habari zenu ndugu zangu wa Jf,poleni na majukumu ya kutwa nzima. naombeni msaada ama maelekezo ni jinsi gani naweza kutumia whatsapp kwenye desktop bila kutumia emulator ya aina yoyote kama hili linawezekana.maana nimejaribu kutumia kwenye bluestacks 5 lakini inacrush kila...
  7. Mhaya

    Kusoma mambo mbalimbali na kufatilia vitu vipya ni chanzo kikuu cha Maarifa

    Hapa duniani kuna madudu ya ajabu sana, tena sana, kuna maviumbe ambayo ukiyaona kwa mara ya kwanza utasema labda unaishi kwenye karne ya pili huko. Ili kwanza uyajue hayo yote, ndugu yangu jitahidi sana kutafuta maarifa. Unajua sisi Waafrika tunashindwa sehemu ndogo sana, tunashikilia sana...
  8. Sa 7 mchana

    Nashindwa kusajili namba ya pili WhatsApp

    Wakuu habari zenu. Ninajambo naomba msaada. Ninataka kusajili whatsapp namba ya 3 kwenye simu yangu. 2 nishaweka yani whatsapp na WA Business. Hii ya tatu imekuwa kipengele wiki jana yote imekuwa nikizaa zaa. namba ya 3 imekuwa banned zaid ya mara 4. Nimejaribu kutumia clone apps/duo apps/...
  9. Doto12

    Unapoandika hisia zako WhatsApp ukafuta, wenye WhatsApp GB wanaona ulichokosea, endelea kukosea ulikuwa sahihi

    Hii ni sentensi yangu, imejaa Falsafa. Naona wengi wanfuta wakat wengine wanaendelea kuona ulichofuta. Binafsi naona madam umeandika usifute. Acha uko sahihi. Kinaacha wengi tunaandika tunafuta, unaandika sentensi unafuta u r wrong. What you have just wrote is right
  10. JanguKamaJangu

    Jadon Sancho aondolewa kwenye Group la WhatsApp la Man United

    Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo kwenye Mtandao wa WhatsApp hali inayoonesha uwezekano wa kurejea kikosini ni jambo gumu Gazeti la...
  11. Mhaya

    Rasmi Whatsapp imeanza kuweka CHANNELS kwenye App yake

    Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels, kwenye sehemu ya chini ya Whatsapp Status. Utakuwa na uwezo wa kupata Habari kupitia Channels utakazoamua kuzifollow Jinsi ya kupata Update hii mpya hakikisha simu yako inatumia tolea jipya la Whatsapp na kama...
  12. Ricky Blair

    New WhatsApp Update

    Jamani watu hawa na apps zao tumechoka ma ads yao au ma updates ya ajabu tu when ni matajiri tayari; Yaani update ovyo sana hii
  13. Faana

    Whatsapp New Feature

    Naomba kujua waliofanikiwa ku update whatsapp ikaja na feature mpya ya ku edit meseji uliyotuma ikiwa na makosa atusaidie tusipata hiyo kitu ikiwa inafanya kazi
  14. Roving Journalist

    Waziri Gwajima: Mila ya kuwekeza mke akiwa tumboni inachochea ukatili wa kihisia

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 3, leo Agosti 31, 2023. Ratiba: Dua Hati za kuwasilisha Mezani Maswali Hoja za Serikali https://www.youtube.com/watch?v=Fs6MAOPxT6U WAZIRI GWAJIMA: MILA YA KUWEKEZA MKE AKIWA TUMBONI INACHOCHEA UKATILI WA KIHISIA Waziri wa...
  15. CodeX

    WhatsApp tricks : 6 Amazing tricks for Efficient Texting

    WhatsApp tricks are ways which can help you to use WhatsApp messaging App like a Pro. WhatsApp has become one of the most popular instant messaging apps, used by billions of people around the world. However, many of its useful features can be easily overlooked. In this article, we will explore...
  16. Suley2019

    Mahakama yaamuru aliyetolewa kwenye kundi la WhatsApp bila ridhaa yake arejeshwe

    Mahakama ya Jijini Kampala imetoa agizo kwa msimamizi wa kikundi cha WhatsApp (Admin), Allan Asinguza, kumrudisha tena mwanachama, Bwana Herbert Baitwababo, ambaye inasemekana aliondolewa bila ridhaa yake. Hakimu wa Mahakama ya Makindye, Bwana Igga Adiru, amemuagiza bwana Allan Asinguza, ambaye...
  17. Crocodiletooth

    Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali?

    Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali? What can I do? Help?
  18. Apollo

    WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

    Namna ambavyo watumiaji wa WhatsApp wanaitumi app ya WhatsApp; itabadilika na soon WhatsApp itakuwa ni mtandao wa tofauti zaidi. Itakuwa ni sehemu ambayo sio lazima ukimaliza kuchat na rafiki yako kwenye WhatsApp, unafunga app ya WhatsApp na kufungua app ya Instagram ili kufahamu habari...
  19. Mpinzire

    WhatsApp GB imekumbwa na kitu gani?

    Nimeshangaa jion hii nafungua GB Whatsapp nakutana na hii msg! Nini hiki wadau?
Back
Top Bottom