Habari wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada wa AI CHAT BOT ambayo inafanya kazi WhatsApp.
Chat bot ambayo unaweza kuitumia ndani ya WhatsApp kama zile chat bot ambazo ziko kule telegram, kama unajua kuunda chat bot ya AI unavyoweza kuitumia WhatsApp naombeni msaada wenu wenu wakuu ila isiwe ya...
Habarini watu wa Mungu,nina tatizo hili kwenye account yangu ya WhatsApp business.
Nimejaribu kuwaomba waifungue sioni response yao, msaada tafadhali naombeni.
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba
Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official whatsapp japo kwenye kimeo changu nimeinstall custom rom ya lineage os
Shida ni kwamba namba zote...
Habari zenu ndugu zangu wa Jf,poleni na majukumu ya kutwa nzima.
naombeni msaada ama maelekezo ni jinsi gani naweza kutumia whatsapp kwenye desktop bila kutumia emulator ya aina yoyote kama hili linawezekana.maana nimejaribu kutumia kwenye bluestacks 5 lakini inacrush kila...
Hapa duniani kuna madudu ya ajabu sana, tena sana, kuna maviumbe ambayo ukiyaona kwa mara ya kwanza utasema labda unaishi kwenye karne ya pili huko. Ili kwanza uyajue hayo yote, ndugu yangu jitahidi sana kutafuta maarifa.
Unajua sisi Waafrika tunashindwa sehemu ndogo sana, tunashikilia sana...
Wakuu habari zenu.
Ninajambo naomba msaada.
Ninataka kusajili whatsapp namba ya 3 kwenye simu yangu. 2 nishaweka yani whatsapp na WA Business.
Hii ya tatu imekuwa kipengele wiki jana yote imekuwa nikizaa zaa. namba ya 3 imekuwa banned zaid ya mara 4. Nimejaribu kutumia clone apps/duo apps/...
Hii ni sentensi yangu, imejaa Falsafa.
Naona wengi wanfuta wakat wengine wanaendelea kuona ulichofuta.
Binafsi naona madam umeandika usifute. Acha uko sahihi.
Kinaacha wengi tunaandika tunafuta, unaandika sentensi unafuta u r wrong. What you have just wrote is right
Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo kwenye Mtandao wa WhatsApp hali inayoonesha uwezekano wa kurejea kikosini ni jambo gumu
Gazeti la...
Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels, kwenye sehemu ya chini ya Whatsapp Status. Utakuwa na uwezo wa kupata Habari kupitia Channels utakazoamua kuzifollow
Jinsi ya kupata Update hii mpya hakikisha simu yako inatumia tolea jipya la Whatsapp na kama...
Naomba kujua waliofanikiwa ku update whatsapp ikaja na feature mpya ya ku edit meseji uliyotuma ikiwa na makosa atusaidie tusipata hiyo kitu ikiwa inafanya kazi
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 3, leo Agosti 31, 2023.
Ratiba:
Dua
Hati za kuwasilisha Mezani
Maswali
Hoja za Serikali
https://www.youtube.com/watch?v=Fs6MAOPxT6U
WAZIRI GWAJIMA: MILA YA KUWEKEZA MKE AKIWA TUMBONI INACHOCHEA UKATILI WA KIHISIA
Waziri wa...
WhatsApp tricks are ways which can help you to use WhatsApp messaging App like a Pro. WhatsApp has become one of the most popular instant messaging apps, used by billions of people around the world. However, many of its useful features can be easily overlooked. In this article, we will explore...
Mahakama ya Jijini Kampala imetoa agizo kwa msimamizi wa kikundi cha WhatsApp (Admin), Allan Asinguza, kumrudisha tena mwanachama, Bwana Herbert Baitwababo, ambaye inasemekana aliondolewa bila ridhaa yake.
Hakimu wa Mahakama ya Makindye, Bwana Igga Adiru, amemuagiza bwana Allan Asinguza, ambaye...
Namna ambavyo watumiaji wa WhatsApp wanaitumi app ya WhatsApp; itabadilika na soon WhatsApp itakuwa ni mtandao wa tofauti zaidi. Itakuwa ni sehemu ambayo sio lazima ukimaliza kuchat na rafiki yako kwenye WhatsApp, unafunga app ya WhatsApp na kufungua app ya Instagram ili kufahamu habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.