Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,453
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba
Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official whatsapp japo kwenye kimeo changu nimeinstall custom rom ya lineage os
Shida ni kwamba namba zote zinakubali ila sasa haiwezi fanya kazi hiyo moja tu
Mwanzo wa tatizo katika pilika pilika nilikuwa natumia simu android nikawa natumia GBWhatsapp lakini sikuwahi pata ban niliupdate everytime, baadae nikahamia iphone nimetumia kidogo sikupendezwa nayo nikaiuza nikasahau account zangu mule
Baadae kuja kupata hii simu nikainstall wasap ya kawaida mwanzo iliniletea huu ujumbe ila baada ya kutumia namba nyingine kisha kubadili fo long ikakubali ila niliona simu ni ya kizamani full kustack nikaamua niistall custom rom
Baada ya hapo ndo sijawahi kuitumia namba yangu kipenzi tena pili nimekuta hiyohiyo namba imekula ban telegram sema sikumaindi koz ni mtandao wa kijinga sana nilipanga kuachana nao iliniliepuke chama la wana
Naomba muwatag wataalamu wenzangu wa tech
Ninecontact na wasap mpaka naona wamenipandishia vioo tatizo lipo palepale
Au nibadili rom?