jadon sancho

Jadon Malik Sancho (born 25 March 2000) is an English professional footballer who plays as a winger for Premier League club Manchester United and the England national team.
Previously a youth player with Watford and Manchester City, Sancho signed his first senior contract with Borussia Dortmund in 2017. In his second season, he established himself as a first-team regular and was named in the 2018–19 Bundesliga Team of the Season. Ahead of the 2019–20 season, Sancho won his first trophy following the DFL-Supercup victory over Bayern Munich. He was named runner-up in both the Golden Boy and Kopa Trophy awards in 2019. Sancho returned to England to sign for Manchester United in 2021.
Sancho was part of the England youth team that won the 2017 FIFA U-17 World Cup and made his debut for the senior team in 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Jadon Sancho aondolewa kwenye Group la WhatsApp la Man United

    Winga Jadon Sancho ambaye yupo nje ya kikosi cha kwanza cha Manchester United kutokana na kutokuwa na uhusiano mzuri na Kocha wake, Erik ten Hag ameondolewa katika Kundi la Wachezaji la timu hiyo kwenye Mtandao wa WhatsApp hali inayoonesha uwezekano wa kurejea kikosini ni jambo gumu Gazeti la...
  2. JanguKamaJangu

    FC Barcelona yajipanga kumsajili Jadon Sancho

    Klabu ya Barcelona inadaiwa inataka kumsajili winga huyo wa Manchester United katika usajili wa dirisha dogo la Januari 2024 baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri na kocha wake, Erik ten Hag. Barcelona ina uhaba wa idara ya ushambuliaji kutokea pembeni baada ya kumtoa kwa mkopo Ansu Fati kwenda...
  3. JanguKamaJangu

    Jadon Sancho amezuiwa kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza cha Man United

    Imebainishwa kuwa winga huyo amepewa zuio la kufanya mazoezi na wachezaji wenzake wa kikosi cha kwanza cha Manchester United hadi atakapomuomba radhi kocha wake, Erik ten Hag. Ametakiwa kufanya mazoezi na wachezaji wa kikosi cha vijana cha timu hiyo kwenye Uwanja wa Carrington. Sancho...
  4. JanguKamaJangu

    Borussia Dortmund yamtaka Jadon Sancho kwa mkopo

    Klabu hiyo ya Ujerumani imeonesha nia ya kumsajili mshambuliaji huyo wa Manchester United katika dirisha la Januari 2024 baada ya uhusiano na kocha wake, Erik ten Hag kuyumba. Sancho alisajiliwa miaka miwili iliyopita kwa ada ya Paundi Milioni 73 akitokea Dortmund lakini ameshindwa kuonesha...
  5. JanguKamaJangu

    England: Kimenuka, baada ya kuwekwa benchi, Jadon Sancho amjia juu kocha wake hadharani

    Winga Jadon Sancho amedai sio kweli kuwa amekuwa hapati nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Manchester United kwa sababu hajaonesha kiwango kizuri kama kocha wake, Erik ten Hag alivyodai bali hivyo ni visingizio dhidi yake. Kabla ya kupoteza kwa magoli 3-1 dhidi ya Arsenal, Ten Hag alisema...
Back
Top Bottom