An official is someone who holds an office (function or mandate, regardless whether it carries an actual working space with it) in an organization or government and participates in the exercise of authority, (either their own or that of their superior and/or employer, public or legally private). An elected official is a person who is an official by virtue of an election. Officials may also be appointed ex officio (by virtue of another office, often in a specified capacity, such as presiding, advisory, secretary). Some official positions may be inherited. A person who currently holds an office is referred to as an incumbent. Something "official" refers to something endowed with governmental or other authoritative recognition or mandate, as in official language, official gazette, or official scorer.
The word official as a noun has been recorded since the Middle English period, first seen in 1314. It comes from the Old French official (12th century), from the Latin officialis ("attendant to a magistrate, government official"), the noun use of the original adjective officialis ("of or belonging to duty, service, or office") from officium ("office"). The meaning "person in charge of some public work or duty" was first recorded in 1555. The adjective is first attested in English in 1533 via the Old French oficial. The informal term officialese, the jargon of "officialdom", was first recorded in 1884.
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k
GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi)
2+ (katika mechi yote...
Wakuu habarini
Nimetumia WhatsApp Gb muda mrefu sasa. Moja ya simu yangu imeomba nitafute official app kwenye playstore. Kabla ya hapo WhatsApp gb nilipatika kwa kudowload through akp kwenye search engine particularly chrome
Je, ninkwamba gb whatsapp inatuagaaga au? Wajuzi msaada hapo?
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba
Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official whatsapp japo kwenye kimeo changu nimeinstall custom rom ya lineage os
Shida ni kwamba namba zote...
The Tanzania Digital Rights Coalition, a united front of organizations committed to upholding and promoting digital rights, unequivocally condemns the recent statement issued on Friday, 13 October 2023 by the Tanzanian Communication Regulatory Authority (TCRA) restricting the use of Virtual...
Naandika andiko hili nikiwa ni mmoja wa watumishi wa Serikalini, na nimelazimika kuleta andiko hapa kwa kuwa nguvu kubwa inayotumiwa na wanaofanya mambo kwa mlango wa nyuma wana nguvu kuliko Watumishi wengi ambao ndio wanaokamuliwa hela bila kupenda.
Inajulikana wazi kuwa Mtumishi anapokuwa na...
Hawa scamers sasa wamezidi.
Asubuhi hii napata ujumbe toka namba ambayo imekuja na logo name ya NMB na sina akaunt huko. Hii scam imekaaje wadau!?
Hawa watu kweli ni piracy programmers.👇
Leo nimesikitika Sana watangazaji kutokuwa na weledi na kazi yao
Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo mtangazaji alikuwa na mwezie Wakawa wanajadili maswala ya CAG Mara katika malumbano mmoja akasema mbona...
Finland officially joins NATO, as Russia says it may have to respond
Finland shares a 1,340km (832-mile) border with Russia, so its entry will more than double the size of NATO's border with the nation.
Finland applied to join NATO in May 2022, setting aside years of military nonalignment to...
Kutokana na upepo wa kisiasa unvyovuma ni wazi kwamba unampendelea sana Freeman Aikaeli Mbowe. Na kumuweka katika nafasi ya wanasiasa wachache nchini wenye nguvu na ushawishi na hivyo si ajabu kusikia 2025 amechaguliwa na watanzania kuwa raisi wao.
Hivyo basi ninafikiri ipo haja katika mchakato...
Tangia Rais Samia aanze Uraisi ni zaidi ya mwaka sasa, lkn mpaka leo hii hajawahi kufanya ziara maalumu ya kiserikali nchini Uingereza, najua mtakuja na majibu ya sijui Ukoloni, lkn msisahahu mlisema mnafungua nchi na ninyi siyo Kisiwa na kwamba ni sehemu ya English empire au Commonwealth wakati...
Habari za muda huu wadau.
Leo nimekuja na swali dogo tu nani anaendesha account za mitandao ya kijamii ya caf? Ni nafasi ya kuomba ama ni nafasi ya teuzi?
Ni hilo tu wakubwa
Huu utaratibu naona unazidi kukita mizizi hapa nchini
Naona mpira sasa unachezwa mtandaoni hadi uwanjani
Tuliona kwa Zalan,je Wananchi watafaulu na kwa hawa wazee wa Sudani!?
Muda ni mwalimu mzuri
Welcome to the Formula 1 official thread.
Anything related to F1, you are welcome.
Teams:
1. Red Bull Racing
2. Ferrari
3. Mercedes
4. Alpine
5. McLaren
6. Alfa Romeo
7. Haas F1 Team
8. Alpha Tauri
9. Aston Martin
10. Williams
Timu yangu ni Red Bull Racing.
Ndugu zangu naona vijembe vya wanayanga huku list wanayotumia ni ya yuleyule mbaya wao Micky jnr wa Ghana ambaye ndiye pekee hadi sasa aliyepost teams kumi.
CAF hawajatoa list wamesema watatoa maelezo zaidi in coming days,ila msishangae hao Yanga wakawepo kwani hadi sasa jamaa ni kama hili...
Klabu ya Simba katika kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23, leo Agosti 7, 2022 wametangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa magoli, Dejan Georgijevic (28) raia wa Serbia kwa mkataba wa miaka miwili akitokea NK...
CRDB ni official Simba Day partner
"CRDB wameona ni muhimu kuwekeza kwenye michezo na wamechagua Simba sababu wanaona ukubwa wa Simba."
"Tunawashukuru CRBD kuwekeza kwenye Simba Day, najua huu ni mwanzo. Tunatamani siku moja kuwaona hata kwenye jezi. Baada ya Simba Day kuna CRDB Marathon na...
Shangwe kubwa linamsubiri nabii huyu wa logo ya utopolo fc, wakati kelele zinapigwa kwamba nembo ibadilishwe mcheza netball, mwenge na bondia watolewe kelele hizo zilipuuzwa kumbe Mungu alikuwa na lengo aiseeee
Utabiri umetimia, yule bondia wa kwenye logo kapatikana na tarehe 6 atakuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.