Prof. Michael Hudson Mchumi kutoka Marekani anasema kuwa sababu zinazopelekea deni la Afrika kuwa tofauti na la Marekani ni kwasababu deni la Marekani lipo katika sarafu yake (Dola)
Hivyo Marekani inaweza kujichapishia fedha zake na kulipa deni lakini Afrika deni lake halipo katika sarafu...
Halo wanna intelligent,
Lengo la kuja hapa ni kukupa taahadhari Kuna jumbe feki zinatembea mitandao ya kijaamii kua unicef Africa inagawa hela za bure kwa watu huo ni utapeli na UNICEF wamesema hawafanyi huduma hio watu wanaingiliwa acc Kisha inaandika umepokea mill 2700000 from UNICEF hao ni...
Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari.
Nikazama gugo kudadisi statistics zinatisha watu jamii ya black race wapo kwenye risky ya kupata kisukari ukilinganisha na...
Leaders of the Ahmadiyya Community from Sub-Saharan Africa have gathered in Tanzania for a two-day seminar (20th April and 21st 2024). The seminar, held in Dar es Salaam, focuses on discussing ethical issues in the participating countries.
The participants include leaders aged 40 and above...
Hizi ndio klabu za soka zenye thamani ya juu zaidi Afrika Mashariki, kwa klabu zilizoweka wazi takwimu zao.
Kutoka chanzo cha kuaminika cha TransferMarkt Klabu tatu kubwa Tanzania ndio zinaongoza katika orodha hii.
Huwa kuna kauli zinasemwa au zinaandikwa kwamba "...arudi kwao Rwanda au Burundi", "huyo atakuwa Mtusi", "Watanzania hatuko hivyo" n.k
Kwa nini inadhaniwa watu wa Rwanda na Burundi kuwa wana roho mbaya sana kuliko Watanzania?
Nini kinatufanya au kinaashira tuamini kwamba sisi ni watu...
"Hakuna mwenye uwezo wa kutabiri mambo yatakayotokea wakati ujao kwa usahihi isipokuwa Mungu pekee". Hivyo ndivyo wanasema, maana yeye pekee anatambua mwanzo na mwisho wetu. Wataalamu wengi wamejaribu kufanya hivyo, wengi wameaibika na wengine kuapa kabisa kamwe hawawezi kuja kutabiri, baada...
About EA Foods
East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry
We are currently looking for an...
About EA Foods
East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry
We are currently looking for...
About EA Foods
East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry
We are currently looking for...
Huyu kijana anakuja kwa speed kama vile katupwa kutoka kwa juu Ana nyimbo zake hazichoshi ila naona hajapewa sana airtime me mpaka sasa hivi sijajua ni mtanzania au mkenya?
Why Are Elections Not Democratic in Africa? Comparisons Between the Recent Multi-party
Elections in Zimbabwe and Tanzania
LIISA LAAKSO
University of Helsinki, Finland
Most valuable football clubs in Africa as of the 2023/2024 season, by market value
1)- El Ahly sc, Egypt 🇪🇬,30.5 million euros
2)- Mamelodi Sundowns, South Africa 🇿🇦 - 29.15 million euros
3)- Pyramid FC, Egypt 🇪🇬, 21.73 million euros
4)- Orlando Pirates, South Africa 🇿🇦 19.55...
Kupitia uzi huu nitakuwa napost magari ya aina tofauti yanayopatikana South Africa na bei zake. Kama ikitokea mtu yuko interested tutawasiliana ili kujua jinsi ya kukuwezesha kununua gari uitakayo.
Nitakua na post gari ambazo zipo kwa dealerships pamoja na ambazo zinauzwa na watu binafsi kwa...
Mchezaji wa Yanga kutoka South Afrika, akihojiwa na waandishi kuhusu Aziz Ki amesema mchezaji huyo alimwambia alikataa ofa ya kujiunga na timu za South Africa sababu kuwa ameona ligi hiyo imeshuka ubora, japo hakuelezea kwa kirefu
Looks like Stephane Aziz Ki could reject PSL clubs amid reported...
Kwenye media za michezo huko South Africa kuhusu game ya jana naona mashabiki wa Mamelod na Kaiser chiefs wamepagawa na kiwango cha Aziz Ki. Kila shabiki anashauri klabu chake kimsajili.
Kuna mmoja akaenda mbali zaidi kwa kusema sio tu lile goli lililokataliwa bali jinsi alivyo na nguvu za...
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta...
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza
Kazini kwetu kuna Kazi.
Kikosi Cha Mamelodi Sundowns Kinachoanza.
Mpira unaendelea kwa kasi .
Timu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.