kisukari

  1. R

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari. Nikazama gugo kudadisi statistics zinatisha watu jamii ya black race wapo kwenye risky ya kupata kisukari ukilinganisha na...
  2. King_Villa

    Hospital nzuri ya wagonjwa wa kisukari

    Habari wakuu, Mzazi wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari moyo na figo โ€ฆkwa siku za karibuni hali imezidi kubadilika anashindwa hata kutembea ,,akila pia anatapika... Nimefikia hatua ya kubadilisha hospitali labda madaktari wanatofautiana tratment na ujuzi Kwa anaejua hospitali naomba...
  3. isaya febu

    Kwanini mtu mwenye kisukari kidonda chake hakiponi haraka?

    Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini mtu mwenye kisukari kidonda chake hakiponi haraka? JIBU: Kuna sababu kuu mbili za kisukari kuchelewesha kupona kwa vidonda: KWANZA: Viwango vya juu vya sukari kwenye damu. Viwango vya sukari kwenye damu vikiwa juu, vinaweza kuharibu mishipa ya damu na neva...
  4. BARD AI

    Serikali yasema haiwezi kugharamia Matibabu ya Kisukari na Tezi Dume kwasababu huduma nyingine zitasimama

    Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Igalula, Venant Protas aliyependekeza Serikali ianze kugharamia Matibabu ya Wagonjwa wa Kisukari na Tezi Dume ambapo amesema gharama za kutibu Magonjwa hayo ni Tsh. Bilioni 346.42 kiasi...
  5. Dr Adinan

    Nashindwa kudhibiti kisukari licha ya kutumia dawa na kufuata masharti

    Siku moja tukiwa tunaongea na wagonjwa katika mijadala ya kawaida kuhusu kudhibiti kisukari na presha, mgonjwa mmoja aliuliza swali la muhimu sana. Dr. Mimi nashangaa, ninamuiga mume wangu aina ya vyakula na kiwango lakini yeye ameweza kudhibiti ila mimi siijaweza. Tatizo nini? Wagonjwa...
  6. BUSH BIN LADEN

    Je, kisukari hakiwezi kutibika kwa transplant ya kongosho?

    Habari za majukumu wana jukwaa? Nimekuwa nikijiuliza hili swali. Ikiwa ugonjwa wa kisukari ni matokeo ya organ ya kongosho kushindwa kuzalisha kimeng'enya cha insulin cha kutosha kwenda ku balance kiwango cha sukari kwenye damu. Je, haiwezekani muathirika wa hili tatizo akafanyiwa upasuaji...
  7. Pascal Mayalla

    Leo ni siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Kisukari, hauna tiba zaidi ya Insulin for life. Je, tiba asili na tiba mbadala ni Effective?

    Wanabodi, Leo ni Siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Kisukari, huu ugonjwa uko kwenye kundi la magonjwa yasiyo ambukiza, ugonjwa huu hauna tiba za kihospitali zaidi ya kudungwa sindano ya Insulin for Life! kwa maisha yako yote. Kuna wanganga wa kienyeji wa tiba asili na riba mbadala ambao...
  8. R

    Je, Matibabu ya saratani na kisukari kwa tiba mbadala ni uhalisia?

    Kuna madai mengi kutoka hizi sanitarium clinics kwamba wanaweza kutibu kansa aina zote na kisukari aina zote Ila binafsi simfahamu mtu yeyote aliyekuwa na magonjwa haya akatibiwa akapona. Mwenye ushahidi atusaidie tuweze kuamini kwani kuna watu wengi wanasumbuliwa na haya maradhi duniani kote.
  9. Kinengunengu

    Nililogwa ili nife kwa kisukari na pressure

    Hii ni kitu kilochonitokea Mimi Binafsi wakati nikiwa naishi Wilaya ya Mlele (Inyonga) Mkoa wa Katavi. Sitataja majina halisi ya watu waliohusika na nitajitahidi kuficha baadhi ya vitu ili kuficha uhalisia wangu. Kwa majina naitwa Kinengunengu, nikiwa nimegraduate SUA pale na kupata kazi Wilaya...
  10. Melki the Storyteller

    KWELI Nyama nyekundu ni hatari kwa Mgonjwa mwenye kisukari

    Hivi ni kweli kuwa nyama nyekundu ya mifugo kama ng'ombe, mbuzi na kondoo humletea matatizo mgonjwa wa kisukari?
  11. BARD AI

    NPS: Malaria, Shinikizo la Damu, Uzazi, Saratani na Kisukari Magonjwa yanayoongoza kutesa zaidi Watanzania

    Hivi unakumbuka mara ya mwisho uliumwa maradhi gani? Ripoti ya utafiti wa ufuatiliaji kaya (NPS) 2020/2021, imeyaorodhesha maradhi matano yanayoongoza kulaza wagonjwa hospitalini nchini, ambayo ni malaria (asilimia 0.7), matatizo ya uzazi (asilimia moja), homa (asilimia 0.4), tumbo (asilimia...
  12. Uhakika Bro

    Swali la kujiuliza kwa yeyote mwenye kisukari na presha. Changes everything!

    Zamani wakati ni mapyamapya kisukari na presha yalisemwa kuwa ni magonjwa ya matajiri. Je hilo limebadilika au kutokana na ukwasi wa watu binafsi kuongezeka. Na utajiri umekuwa kitu cha kawaida ndio maana sasa hivi tunasema ni magonjwa ya watu wote hata wa kawaida. Tuliweke sawa hili jambo...
  13. Sildenafil Citrate

    Siku ya Ugonjwa wa Kisukari Duniani

    Siku ya Ugonjwa wa Kisukari Duniani inatoa fursa ya kuongeza uelewa wa ugonjwa wa kisukari kama suala la afya ya umma duniani na nini kifanyike, kwa pamoja na kibinafsi, kwa ajili ya kuzuia, kutambua na udhibiti bora wa Ugonjwa huo Ugonjwa wa Kisukari ni hali ya Kiwango cha Sukari kuzidi kwenye...
  14. Dr Adinan

    Je, Kisukari kina tiba? Fahamu tafiti zilipofikia mpaka sasa

    Kama una miaka 30+ uko katika hatari ya kupata kisukari. ๐—๐—ฒ, ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ? ๐— ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜†๐—ผ ๐˜๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ Wengine wakiwa na imani kwamba kila ugonjwa una tiba yake, kwasasa dunia bado haijapata dawa ya kutibu ugonjwa huu mbaya na hatari. Kisukari inaongoza kwa...
  15. BARD AI

    Serikali yakiri kuwepo uhaba wa vifaa tiba vya Saratani na Kisukari

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema watu 25,000 walifariki kwa ugonjwa wa Saratani ndani ya mwaka 2020 pekee na kuufanya ugonjwa huo kuwa tishio zaidi ya Uviko-19 ilioua watu chini ya 1,000 hadi sasa. Waziri Ummy pia amekiri kuwepo kwa uhaba wa vifaa tiba na dawa kwa wagonjwa wa Saratani na...
  16. Dr Adinan

    Madhara ya Kisukari na Namna ya kuyaepuka: Ugonjwa wa Figo

    Habari yako ndugu. Karibu tena, tunaendelea na makala zetu kuhusu madhara ya kisukari. Kisukari huharibu figo kwa namna mbili: namna ya kwanza ni madhara ya moja kwa moja yatokanayo na uwepo wa kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu. Tulijifunza kwamba kisukari husababisha shinikizo la damu...
  17. Faith Athanas

    SoC02 Jinsi nilivyopata Kisukari kutokana na kutokuwa na utayari wa kusomea utabibu na Uzembe wa matabibu na manesi katika Afya

    Habari, Afya ni sekta nyeti sana ambayo sekta hiii ikiyumba ,sekta zingine zote zimeyumba.Tujiulize tuna matabibu wanaotegemea nadharia au tunamatabibu wanafanya kazi kwa moyo.? Mwaka 2003 mama Yangu mzazi alienda katika hospitali moja, njiani iringa ,ilikuwa hospitali nzuri tu ,alienda...
  18. BARD AI

    Mtoto wa Jicho, Kisukari ni chanzo kikuu cha Upofu Kanda ya Ziwa

    James Shimba, Daktari Bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya Rufaa Bugando amesema uchunguzi wao umebaini kuwa magonjwa ya Mtoto wa Jicho na Kisukari ndio chanzo kikuu cha Upofu kwa kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Shimba ameeleza kuwa Hospitali hiyo kwa mwezi inapokea Wagonjwa wa Macho zaidi ya 1000...
  19. Dr Adinan

    Vidonda Vya Kisukari: Fahamu Chanzo, Athari, Tiba na Kinga

    Madhara Ya Ugonjwa wa Kisukari na Namna Ya Kuepuka Vidonda kwa wagonjwa wa kisukari ni changamoto kubwa sana inayosababisha ulemavu unaotokana eidha kuwa kukatwa miguu au mikono. Haya yote yanaweza kudhibitika kama tahadhari itachukuliwa katika muda muafaka. Kabla ya kufahamu ufanye nini na...
Back
Top Bottom