figo

Luís Filipe Madeira Caeiro Figo OIH (Portuguese pronunciation: [luˈiʃ ˈfiɣu]; born 4 November 1972) is a Portuguese retired professional footballer who played as a midfielder for Sporting CP, Barcelona, Real Madrid and Inter Milan before retiring on 31 May 2009. He won 127 caps for the Portugal national team, a record at the time but later broken by Cristiano Ronaldo.
Renowned for his creativity and ability to get past defenders as a winger, Figo is regarded as one of the greatest players of his generation. His 106 assists are the second-most in La Liga history, behind Lionel Messi. He won the 2000 Ballon d'Or, 2001 FIFA World Player of the Year, and in 2004 Pelé named him in the FIFA 100 list of the world's greatest living players. Figo is one of the few football players to have played for both Spanish rival clubs Barcelona and Real Madrid. His controversial transfer in 2000 from Barcelona to bitter rivals Real Madrid set a world record fee of €62 million.Figo had a successful career highlighted by several trophy wins, including the Portuguese Cup, four La Liga titles, two Spanish Cups, three Spanish Super Cups, one UEFA Champions League title, one UEFA Cup Winners' Cup, two UEFA Super Cups, one Intercontinental Cup, four Serie A titles, one Italian Cup and three Italian Super Cups. On the international level, he scored 32 goals for Portugal, representing the nation at three European Championships and two World Cups, helping them reach the final but finish as runners-up at Euro 2004.

View More On Wikipedia.org
  1. Newbies

    Watu wengi hawajui kuwa mitishamba inaharibu ini na figol

    Watu wengi wamekulia katika jamii ambazo wanaoamini dawa za mitoshamba hazina madhara na kuwa unaweza kutumia tu kiholela holela hata Kama huna ujuzi nao. Ukweli Ni kuwa mitoshamba Kama isipotumika kwa umakini na kizingatia kipimo stahiki ukawa unabugia tu unaharibu Figo. Utakuta MTU...
  2. Lady Whistledown

    Magonjwa ya Koo, Tumbo, Figo na Ini husababisha mdomo kunuka

    Je Wajua? Baadhi ya Magonjwa ya Koo, Njia ya Hewa, Mfumo wa Tumbo, Figo na Kisukari husababisha Kinywa kutoa Harufu Mbaya Watu wenye Kisukari wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kwenye mate yao, ambayo husababisha bakteria wa mdomoni kuzalisha Kemikali zinazosababisha harufu mbaya...
  3. BARD AI

    Matumizi makubwa ya Diclofenac, Diclopar na Mitishamba husababisha Ugonjwa wa Figo

    #AFYA: Wataalamu wa Afya wameonya kuhusu matumizi makubwa ya Dawa za Kuondoa Maumivu zikiwemo Diclopar na Diclofenac na kueleza kuwa yanasababisha madhara kwenye Figo ambapo mtu anayepata athari hizo ataishia kuhitaji huduma za Kusafishwa Damu (Dialysis). Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na...
  4. BARD AI

    Ugonjwa wa Figo wazidi kuwatesa vijana, Hospitali zapokea wanne hadi 9 kila siku

    Ongezeko la wagonjwa wa figo nchini limeanza kujitokeza miongoni mwa vijana. Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imetangaza kuwa inapokea wagonjwa wapya wanne mpaka tisa kila wiki wenye umri kati ya miaka 24 mpaka 40. Hii imeibua wasiwasi kuhusu matumizi ya pombe kali na vinywaji vya kusisimua...
  5. JamiiCheck

    UZUSHI Dhana Potofu kuhusu Ugonjwa wa Figo

    Alhamisi ya pili ya Mwezi Machi kila mwaka, Dunia huadhimisha Siku ya Figo Duniani ili kutoa ufahamu na kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa afya ya figo na magonjwa yanayohusiana na figo. Kupitia maadhimisho haya, watu hupata fursa ya kujifunza kuhusu njia za kuzuia magonjwa ya figo, kudhibiti...
  6. M

    Dokta Greyson Babishomba: Kuchat usiku kunaharibu figo

    Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya kuchat usiku inapelekea figo kuharibika.
  7. K

    Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo?

    Swali kwa wataalamu: Je, matumizi ya miti shamba kiholela yanaharibu figo? Nauliza kwasababu wagojwa wa figo wameongezeka sana Tanzania
  8. Love Doctor

    Madhara mafuta ya breki(Brake Fluid)

    Habari Madaktari na wafamasia, watu wengi tumekuwa tukitumia mafuta ya breki kujitibu mba. Nimepita mahali nimesikia yana madhara. Naomba kujua yana madhara gani?
  9. G

    Kwanini Dialysis Zanzibar ni bure na Tanzania bara 180,000 kwa siku

    Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti? ======= Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
  10. dyuteromaikota

    Tumsaidie prof J kutokomeza ugonjwa wa figo

    Toa taarifa viwanda bubu mtaani kwako vinavyotengeneza pombe feki. Usikae kimya maana inaweza kumkuta yeyote, hata wewe haupo salama.
  11. Jaji Mfawidhi

    Dalili za kuonesha tayari una ugonjwa wa Figo: Wanywa Pombe Kali Mnasalimiwa!

    Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo. "Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant...
  12. R

    Natoa wito kwa Watanzania kumuunga mkono Prof. Jay katika kampeni ya kumpata fedha za kuhudumia wagonjwa wa figo

    Nitoe pole kwa Prof. Jay kwa machungu aliyopitia kipindi chote cha ugonjwa. Ninashukuru mwenyenzi Mungu kwa kuzidi kumpa nguvu na afya yakumtumikia. Nimpongeze pia Prof. Jay kwa kuona upo umuhimu wa kuwa na foundation itakayosupport wagonjwa wa figo. Hii ni vision nzuri na nia njema kwetu ambao...
  13. JanguKamaJangu

    Wagonjwa Wanne waliopandikizwa Figo Hospitali ya Mloganzila waruhusiwa

    Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa mara nyingine kwa mafaniko makubwa kwa kushirikiana na Korea International Foundational for Health Care na Africa Future Foundation imefanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne ambao figo zao zimeshindwa kufanya kazi. Upandikizaji huo ni wa...
  14. Roving Journalist

    Prof. Janabi akieleza Jinsi Serikali inavyochangia utoaji huduma za Figo

    Serikali imeweka mchango mkubwa katika utoaji huduma za matibabu kwa wagonjwa wa figo katika ngazi mbalimbali nchini kuanzia kwenye kusomesha watalaamu, miundombinu na mashine za usafishaji damu hadi upandikizaji. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)...
  15. Rwaz

    Kupima tezidume, UTI sugu, bawasiri, figo, ini, kibofu, utumbo...dar

    Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai. Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja? Bajet yake ni sh ngap? Mwenye mzaha katika afya aniache kwa leo. Natanguliza shukran
  16. W

    Fahamu namna ya kulinda Figo zako

    Utangulizi: Katika nakala hii, tutachunguza umuhimu wa afya ya figo na jinsi tabia fulani zinaweza kuleta tishio kwa figo zetu. Kwa kuelewa hatari zinazowezekana na kufuata tabia nzuri, tunaweza kuhakikisha utendakazi mzuri wa figo zetu na kudumisha ustawi wa jumla. UMUHIMU WA FIGO Figo ni...
  17. JanguKamaJangu

    Madaktari Wazawa waendelea kupandikiza figo Hospitali ya Muhimbili, njia ya matundu madogo kutumika

    Madaktari wazawa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaendelea kufanya upasuaji wa kupandikiza figo ambapo wagonjwa 12 kuanzia leo watapata huduma hiyo sita kati yao watafanyiwa Upanga kwa njia ya kawaida na sita watafanyiwa wiki ijayo huko Mloganzila kupitia mfumo wa matundu madogo. Akizungumza na...
  18. Nyuki Mdogo

    Figo ya nguruwe yaonesha ufanisi katika mwili wa Binadamu

    Figo ya nguruwe ambayo ilipandikizwa katika mwili wa Binadamu kwa zaidi ya mwezi mmoja, imefanya kazi kwa ufanisi ikiwa ni hatua ambayo Madaktari wa upasuaji wana matumaini makubwa kwamba siku moja wataweza kutumia aina hii ya upasuaji kuokoa maisha ya Binadamu ambao ni Wagonjwa. Upasuaji huo...
  19. Ndege Tai

    Hizi ni sababu za figo kushindwa kufanya kazi (kufeli)

    Wadau tupate dondoo za Afya kidogo ili kuimarisha afya zetu na kuepukana na matatizo ya kiafya. Sababu za figo kufeli ni zile zile ambazo zinaongelewa kila siku 1. Kula chumvi kupita kiasi 2. Kula nyama kupita kiasi, Maana protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa...
Back
Top Bottom