Luís Filipe Madeira Caeiro Figo OIH (Portuguese pronunciation: [luˈiʃ ˈfiɣu]; born 4 November 1972) is a Portuguese retired professional footballer who played as a midfielder for Sporting CP, Barcelona, Real Madrid and Inter Milan before retiring on 31 May 2009. He won 127 caps for the Portugal national team, a record at the time but later broken by Cristiano Ronaldo.
Renowned for his creativity and ability to get past defenders as a winger, Figo is regarded as one of the greatest players of his generation. His 106 assists are the second-most in La Liga history, behind Lionel Messi. He won the 2000 Ballon d'Or, 2001 FIFA World Player of the Year, and in 2004 Pelé named him in the FIFA 100 list of the world's greatest living players. Figo is one of the few football players to have played for both Spanish rival clubs Barcelona and Real Madrid. His controversial transfer in 2000 from Barcelona to bitter rivals Real Madrid set a world record fee of €62 million.Figo had a successful career highlighted by several trophy wins, including the Portuguese Cup, four La Liga titles, two Spanish Cups, three Spanish Super Cups, one UEFA Champions League title, one UEFA Cup Winners' Cup, two UEFA Super Cups, one Intercontinental Cup, four Serie A titles, one Italian Cup and three Italian Super Cups. On the international level, he scored 32 goals for Portugal, representing the nation at three European Championships and two World Cups, helping them reach the final but finish as runners-up at Euro 2004.
Watu wengi wamekulia katika jamii ambazo wanaoamini dawa za mitoshamba hazina madhara na kuwa unaweza kutumia tu kiholela holela hata Kama huna ujuzi nao.
Ukweli Ni kuwa mitoshamba Kama isipotumika kwa umakini na kizingatia kipimo stahiki ukawa unabugia tu unaharibu Figo.
Utakuta MTU...
Je Wajua? Baadhi ya Magonjwa ya Koo, Njia ya Hewa, Mfumo wa Tumbo, Figo na Kisukari husababisha Kinywa kutoa Harufu Mbaya
Watu wenye Kisukari wanaweza kuwa na kiwango kikubwa cha Sukari kwenye mate yao, ambayo husababisha bakteria wa mdomoni kuzalisha Kemikali zinazosababisha harufu mbaya...
#AFYA: Wataalamu wa Afya wameonya kuhusu matumizi makubwa ya Dawa za Kuondoa Maumivu zikiwemo Diclopar na Diclofenac na kueleza kuwa yanasababisha madhara kwenye Figo ambapo mtu anayepata athari hizo ataishia kuhitaji huduma za Kusafishwa Damu (Dialysis).
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani na...
Ongezeko la wagonjwa wa figo nchini limeanza kujitokeza miongoni mwa vijana.
Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imetangaza kuwa inapokea wagonjwa wapya wanne mpaka tisa kila wiki wenye umri kati ya miaka 24 mpaka 40.
Hii imeibua wasiwasi kuhusu matumizi ya pombe kali na vinywaji vya kusisimua...
Alhamisi ya pili ya Mwezi Machi kila mwaka, Dunia huadhimisha Siku ya Figo Duniani ili kutoa ufahamu na kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa afya ya figo na magonjwa yanayohusiana na figo. Kupitia maadhimisho haya, watu hupata fursa ya kujifunza kuhusu njia za kuzuia magonjwa ya figo, kudhibiti...
Habari Madaktari na wafamasia, watu wengi tumekuwa tukitumia mafuta ya breki kujitibu mba.
Nimepita mahali nimesikia yana madhara. Naomba kujua yana madhara gani?
Tanzania na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
=======
Mdau anahoji kwanini wagonjwa wa figo wanafanyiwa kwa gharama ya Tshs 180,000 kwa siku Tanzania bara ilhali Zanzibar ni bure. Amesema wapo wanaotakiwa kufanyiwa dialysis mara mbili au tatu kwa siku. Mdao ameomba majibu kwa waziri wa afya.
Profesa Janabi kwenye uzinduzi wa Professor Jay Foundation ametaja dalili za mtu ambaye tayari anaugonjwa wa figo.
"Ukiwa na hizi dalili sio za mwanzo tena, tayari wewe umeingia kwenye ugonjwa wa Figo
Katika kutaja dalili hizo, salamu hizo amelekeza kwa wale Wazee wa bapa, k-vant...
Nitoe pole kwa Prof. Jay kwa machungu aliyopitia kipindi chote cha ugonjwa. Ninashukuru mwenyenzi Mungu kwa kuzidi kumpa nguvu na afya yakumtumikia.
Nimpongeze pia Prof. Jay kwa kuona upo umuhimu wa kuwa na foundation itakayosupport wagonjwa wa figo. Hii ni vision nzuri na nia njema kwetu ambao...
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa mara nyingine kwa mafaniko makubwa kwa kushirikiana na Korea International Foundational for Health Care na Africa Future Foundation imefanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne ambao figo zao zimeshindwa kufanya kazi.
Upandikizaji huo ni wa...
Serikali imeweka mchango mkubwa katika utoaji huduma za matibabu kwa wagonjwa wa figo katika ngazi mbalimbali nchini kuanzia kwenye kusomesha watalaamu, miundombinu na mashine za usafishaji damu hadi upandikizaji.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)...
Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai.
Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja?
Bajet yake ni sh ngap?
Mwenye mzaha katika afya aniache kwa leo.
Natanguliza shukran
Utangulizi:
Katika nakala hii, tutachunguza umuhimu wa afya ya figo na jinsi tabia fulani zinaweza kuleta tishio kwa figo zetu. Kwa kuelewa hatari zinazowezekana na kufuata tabia nzuri, tunaweza kuhakikisha utendakazi mzuri wa figo zetu na kudumisha ustawi wa jumla.
UMUHIMU WA FIGO
Figo ni...
Madaktari wazawa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaendelea kufanya upasuaji wa kupandikiza figo ambapo wagonjwa 12 kuanzia leo watapata huduma hiyo sita kati yao watafanyiwa Upanga kwa njia ya kawaida na sita watafanyiwa wiki ijayo huko Mloganzila kupitia mfumo wa matundu madogo.
Akizungumza na...
Figo ya nguruwe ambayo ilipandikizwa katika mwili wa Binadamu kwa zaidi ya mwezi mmoja, imefanya kazi kwa ufanisi ikiwa ni hatua ambayo Madaktari wa upasuaji wana matumaini makubwa kwamba siku moja wataweza kutumia aina hii ya upasuaji kuokoa maisha ya Binadamu ambao ni Wagonjwa.
Upasuaji huo...
Wadau tupate dondoo za Afya kidogo ili kuimarisha afya zetu na kuepukana na matatizo ya kiafya.
Sababu za figo kufeli ni zile zile ambazo zinaongelewa kila siku
1. Kula chumvi kupita kiasi
2. Kula nyama kupita kiasi,
Maana protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.