The Unified Thread Standard (UTS) defines a standard thread form and series—along with allowances, tolerances, and designations—for screw threads commonly used in the United States and Canada. It is the main standard for bolts, nuts, and a wide variety of other threaded fasteners used in these countries. It has the same 60° profile as the ISO metric screw thread, but the characteristic dimensions of each UTS thread (outer diameter and pitch) were chosen as an inch fraction rather than a millimeter value. The UTS is currently controlled by ASME/ANSI in the United States.
Habarini wakuu,
Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini.
Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha (muonekano) na bei yake
Post ntazipanga katika sytematic order ambayo itawezesha mtu kupata picha ua...
Huu Uzi no maalumu kwa mashabiki wa ile timu inayopiga soka la kitabuni na clabu kubwa Africa kwa sasa nayo niyanga sc tu na si wengineo
hapa funs tuwe tuna update habari/taaifa,ratiba na kadharika
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
Habari zenu wakuu??
Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake
Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia
Kiukweli ni...
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda.
Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia...
Naam, ni Hakika!
Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024.
Mashindano haya ya kusisimua, yanayofanyika mara moja kila baada ya miaka minne, yataanza kutimua vumbi Ijumaa...
Wakuu niaje?
Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
Kwa wote tunaotambua nguvu iliyojificha kwenye namba.
Uzi huru kutupia chochote unachoamini ni mafanikio kwako, usikate tamaa jibidishe kwani huu ndo mwaka wa neema kwa wanaojituma.
Pia usiache kumshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.
Wanasema mpira sio kushinda magoli tu, bali mpira ni kujua kuuchezea na kuutawala.
Huu ni uzi maalumu wa kutupia video za udambwi dambwi wa mastaa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu.
Mimi naanza na hawa viumbe wawili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo
DONDOSHA NAWEWE CLIP YA VIDEO...
Ni michuano ya 34 ya Mataifa huru ya Afrika ambayo itafanyika Ivory Coast kuanzia January 13 mpaka February 11 ya 2024.
Itashirikisha timu 24 ikiwemo sisi Tanzania. Michuano hiyo itafanyika katika majiji matano huku viwanja sita vitatumika katika michuano hiyo.
Hii ni mara ya pili kwa Ivory...
Dear JamiiForums Members,
As we embrace the dawn of 2024, may your paths be adorned with joy, prosperity, and boundless possibilities. Let the New Year be a canvas of fresh opportunities, where your aspirations paint vibrant hues of success and fulfillment.
May the threads of connection...
Tujuane wadau, labda nilipokaa hapa kuna member wa jf nae ana-browse ila hatujuani.
Nimerudi Dar jioni hii ila nimetulia hapa Micassa Pub Ubungo
Uko wapi mdau?
Mshana Jr
LIKUD
The Boss
Extrovert
cocastic
Nifah
dronedrake
The only
Na wengine wengi
Bwana Yesu asifiwe! Nimeanzisha huu uzi maalumu na mahususi kwa wapenzi wa nyimbo za injili. Hapa tutakuwa tunabadilishana nyimbo mbalimbali za injili za sasa na zamani. Huenda kuna mtu anautafuta wimbo fulani wa injili bila mafanikio. Basi ataomba wimbo huo hapa jukwaani na atatumiwa na...
eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES), lakini baadaye ulibadilishwa jina kuwa "eFootball." Mabadiliko haya yalifanyika ili kuongeza msisimko na...
jamaa flani alienda kwenye kibanda cha mama ntilie akaagizia chipsi na mayai.
mama ntilie wakati anamuekea akamuuliza"vipi nizichanganye???"
jamaa kwa kujifanya anajua kiingereza akajibu"YEAH COMFUSE THEM.."
Huu ni uzi maalumu kwa yoyote yule mwenye kitabu, jarida, chapisho n.k linalohusu uchumi katika mfumo wa soft copy anaweza kutupia hapa ili kila mtu ajifunze mambo mbalimbali kuhusu uchumi.
Iwe ni kitaifa au kimataifa hakuna limit ya nchi au eneo lolote.
Nawakaribisha wote.
Ulishawahi angalia filamu ukajikuta una question your reality? una-question everything? Yaani filamu imeilenga akili yako mtazamaji kama ni sehemu ya mchezo. Basi huo ni mfano wa Mind bending/blowing movie.
kwa matumizi ya uzi huu: Mind bending films films ni aina ya filamu zenye lengo la...
Short history;
Azania secondary school is among the oldest schools in the country, started to operate in the year 1933. This means it is now 88 years old (2021). Formally the school was owned by Tanzanians of Asian origin before taken by government in the year 1967. The school is situated in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.