Barcodes ni muhimu kwa mfanyabiashara kwa sababu husaidia katika kufuatilia bidhaa, kusimamia hisa, kupunguza makosa ya kibinadamu, na kuongeza ufanisi katika mchakato wa mauzo na usimamizi wa hesabu. Pia, husaidia kwa urahisi katika kufanya ufuatiliaji wa mauzo na kukusanya data kuhusu bidhaa.Kwani hiyo barcode ina kusaidia nini wewe mjasiriamali Mdogo??
Yes. Huyo Bw. Kafula atampa msaada wa kutosha.0715398988
huyo afisa masoko wa GS1 ndo wanaotoa barcode kwa sasa Tanzania zinazoanzia na 620
wapo msasani ofisi za Tirdo