Mkuu, hujapata picha ya BUGATI na mke wake? Nao wamependeza sana!Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
Bugatti kapendeza kuliko kila mtuMkuu, hujapata picha ya BUGATI na mke wake? Nao wamependeza sana!
Nawachungulia kupitia Runingani!
Wachawi mmeanzaWatadumu? Sioni kama Zuchu kwa Diamond atabamba 😂
Huo ndio uhalisia.Wachawi mmeanza
Biashara ubunifu jana wamepiga za kutosha sanaMambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
Ndo mchezo wake ukiangalia record zote kashika yye huko boomplayHuyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya
Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Mbona sijakuona chawa mkubwa .....Bugatti kapendeza kuliko kila mtu
Picha inazungumza mengi sana.Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
Dogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweliPicha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.
BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?
Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.
Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Kwahiyo hawa ni wapenzi au?Dogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
Watadumu? Sioni kama Zuchu kwa Diamond atabamba