Zitto Nani Akuuwe?

kaka umeuliza swali lako kama vile hauamini au haiwezi ikatokea mafia wakafanya vitu vyao

at a glance ccm they may be planning this to confuse chadema. Politically ccm wanaweza wakamuua (kwani wana shida gani) na wakawasingizia akina mbowe na slaa na chama kuyumba, it happened kwa chacha mkuu! Zitto swala la kuuawa halijaanza leo, ajali ya mbatia inahisiwa alikuwa anatafutwa zitto! Kwani yale maziwa ya sumu aliyokunywa mwanza enzi za chifupa si alikuwa anatafutwa yeye?

Unasema ccm huwa hawaui, kama waliweza kumuaa muasisi wa chama chao washindwe kwa zitto? Wanaopanga ni wenyewe na wanaosema ni wenyewe iki-leak ndiyo tunaanza kutafutana. Ukiwa kwenye game utajua kuwa si ajabu! Ila ukiwa kwenye keyboard na kuona wavaa suti kwenye magari ya voyoyozi basi utaona kabisa kuwa wote ni wacha mungu!

Ccm iko pabaya sana ndani na kwa medani ya kimataifa na cdm ni threat kwao, politically yes it is possible, kidini is impossible, kibinadamu is impossible, kama uko kidini na kibinadamu halikuingii akilini, kama unaamini ccm ni system, ni mafia then is possible next victim might be you!

waberoya umenikumbusha issue ya kolimba hapo ndio naona ccm haina urafiki na mtu bali ni urafiki wa kinafiki ambao it will lead you to death au politically meltdown ya huyo mtu, maana kwa sasa naona pia wanamtafuta sitta wamuweke kwenye 60 degree angle halafu wammalize kabisa
 
!!! Zitto auawe kwa lipi, na hata akifa chama cha chadema bado kimesimama imara, na ukiangalia kwa makini huyu zito ni MAMLUKI anatakiwa avuliwe uanachama, kama mtakumbuka aliwahi kusema kuwa kwa sasa anagombea mbunge na mwaka 2015 atagombea urais kwa chama gani hasa. Ndiyo maana na sema umaarufu utamponza na ataangukia pua Kwa sifa za kijinga.
 
Watz hatuna desturi za kuuwana, kama ingekuwepo kuna viongozi kibao wameshamess-up wangekuwa wameshatolewa roho zao siku nyingi ndio iwe wewe zito??? madudu unayoyafanya hayana athari yoyote zaidi ya wewe mwenyewe kujidhalilisha. majuzi hapa umeumwa tumbo la kawaida tuu unaanza kudai umewekewa sumu, nani akuuwe na kwa lipi hasa???hakuna anaekuwazia kukuuwa hata kidogo, acha propaganda bwana, umeshalikoroga unatafuta sehemu ya kujishikili, endelea na kina zoka na RA hakuna mwenye shuguli na wewe bwana.
kwenye red, yeye alisema kile alichoambiwa na daktari, sasa wewe kama unapingana na vipimo basi unamatatizo.
zito nikiongozi chadema mbona muda mrefu hatuone aandamane na viongozi wengine wa chadema? Kaka chacha wangwe alikuwa na migogoro na freeman akaishia kaburini kwa nini hili la zito tulidharau? lisimwalo lipo au li njiani linakuja. haya si mambo ya kupuuzwa hata kidogo. Lakini tunasubiria tu litokee halafu watajua shughuli yake kwani itakuwa pevu. Lets we wait and see.
 
huyu jamaa nanamatitizo ya kufikiri, nashangaa Chadema wanamuogopa nini... inabidi wamtimue haraka, aende zake huko CCM
 
Kaka umeuliza swali lako kama vile hauamini au haiwezi ikatokea mafia wakafanya vitu vyao

At a glance CCM they may be planning this to confuse chadema. Politically CCM wanaweza wakamuua (kwani wana shida gani) na wakawasingizia akina Mbowe na Slaa na chama kuyumba, it happened kwa chacha mkuu! Zitto swala la kuuawa halijaanza leo, ajali ya Mbatia inahisiwa alikuwa anatafutwa Zitto! Kwani yale maziwa ya sumu aliyokunywa mwanza enzi za Chifupa si alikuwa anatafutwa yeye?

Unasema CCM huwa hawaui, kama waliweza kumuaa muasisi wa chama chao washindwe kwa Zitto? wanaopanga ni wenyewe na wanaosema ni wenyewe iki-leak ndiyo tunaanza kutafutana. Ukiwa kwenye game utajua kuwa si ajabu! ila ukiwa kwenye keyboard na kuona wavaa suti kwenye magari ya voyoyozi basi utaona kabisa kuwa wote ni wacha Mungu!

CCM iko pabaya sana ndani na kwa medani ya kimataifa na CDM ni threat kwao, politically YES it is possible, kidini is impossible, kibinadamu is impossible, kama uko kidini na kibinadamu halikuingii akilini, kama unaamini CCM ni system, ni mafia then is possible next victim might be YOU!

Waberoya uchambuzi wako ni sahihi kabisa, umeliangalia swala hili kwa mapana na marefu (past, present & future), hakika CCM wanaweza kufanya hili kwa gharama CDM, maana wako tayari kufanya lolote ili kuendelea kushika hatamu
 
Nakubaliana na Waberoya kwamba kama kuna mpango kama huo basi unapangwa na CCM. Ukiangalia circulation ya sms zinazohusu hayo zinatoka mtandao wa walewale waliosambaza sms za uchochezi wakati wa kampeni. Hawa watu wako tayari kufanya lolote wanalodhani litaidhofisha CHADEMA, na Zitto mwenyewe anaweza kujikuta akiwarahisishia kazi kwa kufikiri anao marafiki huko.
 
kwenye red, yeye alisema kile alichoambiwa na daktari, sasa wewe kama unapingana na vipimo basi unamatatizo.
zito nikiongozi chadema mbona muda mrefu hatuone aandamane na viongozi wengine wa chadema? Kaka chacha wangwe alikuwa na migogoro na freeman akaishia kaburini kwa nini hili la zito tulidharau? lisimwalo lipo au li njiani linakuja. haya si mambo ya kupuuzwa hata kidogo. Lakini tunasubiria tu litokee halafu watajua shughuli yake kwani itakuwa pevu. Lets we wait and see.

Tatizo naloliona ni wengi kushindwa kuelewa tafsiri sahihi ya "food poisoning". Hata magazeti yalishindwa au kuamua kwa makusudi kutotoa tafsiri sahihi ya kilichosemwa na daktari. Lugha ikawa rahisi tu: "kawekewa sumu". "Food poisoning" hutokea katika mazingira mengi tu. Tunaokula kwenye tafrija mbalimbali au mahotelini tutaelewa kwamba wakati mwingine chakula kisipotunzwa au kushughulikiwa ipasavyo huleta hali hiyo. Si kuwekewa sumu tujuavyo ama sivyo daktari angeitaja rasmi sumu hiyo. Hata Zitto naye naona alielekea kuacha hali ieleweke kiutata hivyohivyo-labda kwa manufaa ya kisiasa.
 
Waberoya is right on the point. I also expect Zitto to be smart enough to know that in politics, friendship and enmity are murky concepts. That's enough to keep him alert as from which side/angle the killer blow will emerge. But then, I've been often surprised by the proverbial sungura mjanja kunaswa na tundu bovu!
 
mbona alikuga nyerere ambaye huwezi mlinganisha na mtu yeyote tanzania hii? who is zitto by the way! misikuwahi kumjua ni hapa namsikia
 
Tatizo naloliona ni wengi kushindwa kuelewa tafsiri sahihi ya "food poisoning". Hata magazeti yalishindwa au kuamua kwa makusudi kutotoa tafsiri sahihi ya kilichosemwa na daktari. Lugha ikawa rahisi tu: "kawekewa sumu". "Food poisoning" hutokea katika mazingira mengi tu. Tunaokula kwenye tafrija mbalimbali au mahotelini tutaelewa kwamba wakati mwingine chakula kisipotunzwa au kushughulikiwa ipasavyo huleta hali hiyo. Si kuwekewa sumu tujuavyo ama sivyo daktari angeitaja rasmi sumu hiyo. Hata Zitto naye naona alielekea kuacha hali ieleweke kiutata hivyohivyo-labda kwa manufaa ya kisiasa.

Na hata hili la kuuawa, zitto & co. wamelitengeneza na kuli-publicize ili kulikuza na hatimaye ionekane kwamba anataka kuuwawa, kitu ambacho hakina ushahidi wowote. Zitto anajua kalikoroga na kwakuwa kavuliwa unaibu KUB basi anatafuta namna ya kuendelea kugonga headlines lakini kiukweli hakuna habari ya kumuua. Ni kama vile anavyom-support swahiba wake jk kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka huu ulikuwa na udini, eti umeacha nyufa za udini wakati kila siku tuko na maustazi tunakata maji na kuchoma nyama pamoja kama kawaida. Hizi ni propaganda za hovyo kabisa.
 
kwenye red, yeye alisema kile alichoambiwa na daktari, sasa wewe kama unapingana na vipimo basi unamatatizo.
zito nikiongozi chadema mbona muda mrefu hatuone aandamane na viongozi wengine wa chadema? Kaka chacha wangwe alikuwa na migogoro na freeman akaishia kaburini kwa nini hili la zito tulidharau? lisimwalo lipo au li njiani linakuja. haya si mambo ya kupuuzwa hata kidogo. Lakini tunasubiria tu litokee halafu watajua shughuli yake kwani itakuwa pevu. Lets we wait and see.

Haya tuambie hiyo pevu itakuwaje au msemo tu mdomoni kako?
 
Nakubaliana na Waberoya kwamba kama kuna mpango kama huo basi unapangwa na CCM. Ukiangalia circulation ya sms zinazohusu hayo zinatoka mtandao wa walewale waliosambaza sms za uchochezi wakati wa kampeni. Hawa watu wako tayari kufanya lolote wanalodhani litaidhofisha CHADEMA, na Zitto mwenyewe anaweza kujikuta akiwarahisishia kazi kwa kufikiri anao marafiki huko.

CCM hawana muda wa kumuua zitto, huyu wameshamtia mfukoni, dawa yake ndogo tu, wamepenyeza rupia kwisha habari yake.

Kama ni kuua, wao wanashughulika na watu wao wenyewe wa ccm ambao wanaona kabisa kwamba pamoja na kutumia vitisho vya kila aina wanagundua kwamba hakuna mabadiliko na hawawezi kum-dowans kama zitto basi hapo huishia kumkolimba. Wanaweza kumuua mtu wao wa ndani ya chama au serikali kwa kuwa anajua mipango yao yote michafu na wanahisi kwamba anawasaliti, kwahiyo ili kujilinda na kuvuja kwa siri zao inabidi kumkolimba, zitto anajua nini kinachoendelea ndani ya ccm na serikali yake!?? tuache ushabiki kidogo tuangalie hii issue kwa umakini unaotakiwa.
 
Wakubwa,

Jana kwenye taarifa ya habari TBC1 nikamsikia Kanumba akitamka kuhusu habari kwamba Zitto kutishiwa kuuawa, mimi sikubaliani kabisa kwamba hivi nani amuue zitto? kwa lipi hasa?

Binafsi naona watu wanataka kuzidi kumpandisha chati kwa sababu zao binafsi, Tanzania hatuna utamaduni wa kuuwana, walikuwapo viongozi waadilifu sana na hayakuwapata haya iweje leo wewe zitto watu wakutoe roho kwa lipi hasa?

Sababu imetangazwa si jambo la kubeza tena, tujadili tuone kweli hivi kuna njama za kumtoa roho au propadanda za kisiasa tu?

Sisi watanzania tuna matatizo yetu na wala hili za Zitto naona halina umuhimu kwa sasa haya magazeti yanalikuza tu bila sababu ya msingi,hebu tumalize hili la umeme na katiba yetu tafadhali.

Zoka,Zitto like father like son
 
Lakini wakubwa... ni mara chache sana mwizi hua anatoa taarifa kwa mwenye nyumba kama anakuja kuiba kabla ya mpango wake kutimizwa!!!!! Kwa kufanya hivyo mpango mzima unaweza kwenda kombo!!! Kama kweli walikua... au wanampango wa kumuua Zitto wasingempa warning au vitisho kama ilivyofanyika.... to me that's not logical...
 
Hofu ya kufanywa CHACHA WANGWE unamfanya aogope. CCM wajanja sana, walimwua Wangwe kimafia sasa wamelianzisha lingine.
Hizi taarifa za Zitto zisipuuzwe, investigation has to start from the source immediately. Tusisubiri mpaka mtu adhurike ndio upelelezi uanze.
 
Binafsi naona watu wanataka kuzidi kumpandisha chati kwa sababu zao binafsi, Tanzania hatuna utamaduni wa kuuwana, walikuwapo viongozi waadilifu sana na hayakuwapata haya iweje leo wewe zitto watu wakutoe roho kwa lipi hasa?

Tafadhali sana ELNIN0,

Edward Sokoine,
Imran Kombe,
Horace Kolimba,
Kigoma Malima,
Judge Mwaikusa,
Chacha Wangwe,

e.t.c
 
Tafadhali sana ELNIN0,

Edward Sokoine,
Imran Kombe,
Horace Kolimba,
Kigoma Malima,
Judge Mwaikusa,
Chacha Wangwe,

e.t.c


Hii walikosea sana mahesabu maana ili-leak vibaya mno! kila mtu alijua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom