Hofu ya kufanywa CHACHA WANGWE unamfanya aogope. CCM wajanja sana, walimwua Wangwe kimafia sasa wamelianzisha lingine.
Hizi taarifa za Zitto zisipuuzwe, investigation has to start from the source immediately. Tusisubiri mpaka mtu adhurike ndio upelelezi uanze.
CCM walimuua CHACHA ili iweje? watu bwana wanaiacha source makusudi