KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,477
- 2,360
Hakuna mtu aliyeenda kuomba pesa ziletwe ila zililetwa na mashirika ya UN. Na pesa hizo zilikuwa za kupambana na athari za Corona siyo kutibu Corona kwa sababu Corona haina tiba. Nenda uwaambie mabwana zako ujumbe huuTena wafadhili baada ya kuuliza matumizi ya pesa zao wameitwa “hooligans who sit in a Eurpean Parliament “.