Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Yule bb ndio alikuwa anam-recharge zzk. Ndio maana alipokufa tuu umaarufu wa zzk umeporomoka gafla anabaki kutapatapa tuu mitandaoni
Alikuwa ana mu recharge kivipi mkuu?
 
Huyo Zitto akiamuliwa serious mbona wana mdaka tu kiulaini

Unadhani hatambui hilo?

Kuna sababu za kutekwa kwa MO na ni hao watekaji watawaambia polisi na wasuluhishi ni nini madai yao.

Tungojee na tuvute subira, tuwe wapole na shughuli ziendelee kama kawaida.

Subira yavuta kheri.
 
Zitto huwa namkubali sana natamani sana amtolee pimbi mmoja mfano....
Wengi washapata mifano mkuu bado nasubiri moto wake MUSIBA , Wapi Mchinga Sound Wapi Mudhihir Mudhir? Dawa ya watu wasiojulikana ni kuwaangamiza kijadi tu believe me inafanya kazi vizuri,kama hauna kosa wameteka ndugu yako wewe ni kuwaendea kwa wataalumu tu na kuwaangamiza hakuna namna.

Zitto alikuwa anaondoka kwenye ajali lakini mizimu ilimuokoa akafa waziri.
 
Hahahaa...... Zitto kwa mikwara ya matumizi ya mitishamba hajambo!!
Mkuu
Ni mitishamba au uchawi/ushirikina

Je inatupa ishara gan kuwa wasomi, wanasiasa na viongozi wetu n watu wanaojitapa kwa uchawi na ushirikina????
 
Ni kiburi cha uzima tu kinachokusumbua. Yote kwa yote hakuna mwenye hati-miliki ya dunia hii. Maskini, tajiri, mwenye mamlaka, kapuku kama mimi - wote tunapita tu. Tutangulizeni tu, mtatufata huko mnakotulazimisha kwenda kabla ya mapenzi ya Mungu.

Machozi ya mwenye haki hayapiti bure kamwe. Hakimu Mwenye Haki anarekodi kinachoendelea na wakati unaompendeza ukifika atafaya linalompendeza.....
Kala, kashiba. Huwezi kumwambia lolote litakalomwingia akilini wakati akijiona hakuna zaidi ya wao. Wakati huu wanaamini wametumwa na mungu kufanya yote wanayofanya. Mtu kama huyo huwezi kumwambia jambo lolote akakusikiliza.
 
Inadhani hatambui hilo?

Kuna sababu za kutekwa kwa MO na ni hao watekaji watawaambia polisi na wasuluhishi ni nini madai yao.

Tungojee na tuvute subira, tuwe wapole na shughuli ziendelee kama kawaida.

Subira yavuta kheri.
Anajua hilo ila anaongea ili aonekane ni untouchable.
Hili swala la Mo kuna jambo kubwa sana liko behind the scene sisi Raia hatuelewi na vile sikuhizi kunskubanwa hisia zetu tunazihifadhi moyoni, pia vile tunaweza muona mtu kwa nje yuko vzuri ila ayafanyayo gizani hatujui, so hata watekaji wana lao jambo
 
Back
Top Bottom